DOKEZO Airtel mmeanza kugawa siri za wateja wenu kwa matapeli?

DOKEZO Airtel mmeanza kugawa siri za wateja wenu kwa matapeli?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Ni muda muafaka sasa Airtel ianze kufiatilia wafanyakazi wake ambao sio waaminifu ambao wamekuwa wanagawa siri za wateja kwa matapeli

kwa nini nimesema hivyo?

Kipindi cha karibuni baada ya kuanza kupokea malipo kupitia Namba yangu ya Airtel kwenye biashara zangu nilianza kuona matapeli yameanza kuniandama kwa siku zinaingia simu 3 wote wanajifanya watu wa airtel wanakuambia uingie kwenye menyu ili wakuingize chaka utume pesa bila ww kujua

ila kitu nilichofaham ni kuwa accout ikiingia pesa tu kuanzia laki 2 kwenda juu hadi milioni ndio huwa wanasumbua na acc ya airtel money ikiwa haina pesa basi hakuja tapeli atakayekupigia sim

sasa tunatakiwa tujue ni nani ambaye yupo nyuma ya utapeli huu
 
Mkuu kumbe ndio una jua leo hii michezo..? Hii issue ni kwa mitandao yote mzee wangu, mara nyingi hali kama hii hutokea pindi unapo pokea pesa nyingi kwenye account yako ya mtandao husika unao tumia sii kwa Airtel tu kuna siku ilivaki kidogo tu nipigwe 1.8M [emoji24][emoji848] nika stuka walini poromoshe mitusi hiyooo [emoji30] uzuri ni kwamba niliokoa kibunda changu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kumbe ndio una jua leo hii michezo..? Hii issue ni kwa mitandao yote mzee wangu, mara nyingi hali kama hii hutokea pindi unapo pokea pesa nyingi kwenye account yako ya mtandao husika unao tumia sii kwa Airtel tu kuna siku ilivaki kidogo tu nipigwe 1.8M [emoji24][emoji848] nika stuka walini poromoshe mitusi hiyooo [emoji30] uzuri ni kwamba niliokoa kibunda changu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tigo nao wana hizo mambo, siku ukipokea miamala kadhaa lazima tu utapata simu ya tapeli
 
Voda ndio wa hovyo zaidi. Ni hatari sana kwa hii mitandao kutoa taarifa za wateja kwa lengo la kutaka waibiwe. Hivi uliwahi kujiuliza inakuwaje matepeli wanakuwa na access ya password ya account yako ya pesa ikitokea umepoteza simu? Maanake matapeli ndio hawa hawa wahudumu wa haya makampuni.
Tigo nao wana hizo mambo, siku ukipokea miamala kadhaa lazima tu utapata simu ya tapeli
 
Ila kweli ,kipind miamala ya laki laki inaingia wahuni walikua wananitafuta sana ,saiv account zko na Mia Mia siwahoni kabisaa ata sms
 
Voda ndio wa hovyo zaidi. Ni hatari sana kwa hii mitandao kutoa taarifa za wateja kwa lengo la kutaka waibiwe. Hivi uliwahi kujiuliza inakuwaje matepeli wanakuwa na access ya password ya account yako ya pesa ikitokea umepoteza simu? Maanake matapeli ndio hawa hawa wahudumu wa haya makampuni.
Mwenyewe nahisi wahudumu ndio hao matapeli wenyewe
 
Back
Top Bottom