Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Mwezi uliopita nilienda Airtel shop kununua router kwa ajili ya internet. Nilipewa options mbili nipewe router bure na niwe nalipia kifurushi 110,000 kila mwezi au ninunue router 200,000 alafu niwe nalipia kifurushi 70,000 kila mwezi.
Mi nikalipa 200,000 na kifurushi cha 70,000 kwa mwezi wa kwanza. Hii ya mwezi wa kwanza alinilipia wakala wao wa Airtel moja kwa moja. Baada ya kifurushi kuisha mwezi unaofuatia ambao ndio huu kila nikiingia kwenye menu nakuta natakiwa kulipa 110,000.
Nimeangaika sana kuwapigia simu ili wanirekebishie niweze kupata kifurushi cha 70,000 kama tulivyokubaliana lakini danadana ni nyingi. Hivi sasa ni wiki ya pili sina huduma ya internet.
Soma Pia: Huduma ya Airtel kwa Wateja wa 5G ina walakini, iangaliwe
Airtel mnapoteza wateja HUU NI UTAPELI MCHANA KWEUPE.
Mi nikalipa 200,000 na kifurushi cha 70,000 kwa mwezi wa kwanza. Hii ya mwezi wa kwanza alinilipia wakala wao wa Airtel moja kwa moja. Baada ya kifurushi kuisha mwezi unaofuatia ambao ndio huu kila nikiingia kwenye menu nakuta natakiwa kulipa 110,000.
Nimeangaika sana kuwapigia simu ili wanirekebishie niweze kupata kifurushi cha 70,000 kama tulivyokubaliana lakini danadana ni nyingi. Hivi sasa ni wiki ya pili sina huduma ya internet.
Soma Pia: Huduma ya Airtel kwa Wateja wa 5G ina walakini, iangaliwe
Airtel mnapoteza wateja HUU NI UTAPELI MCHANA KWEUPE.