Shida tuu ni ukweli ambao watu hawaambiwi kuhusu hizi huduma za unlimited,
Iko hivi kwenye kila mtandao unaoambiwa unapewa bando unlimited hua kuna "behind".
Hichi ni kiwango cha gb unachopewa nyuma ya pazia yani mfano kwenye hiyo ya artel unakuta wanakupa tb 1.2 so ukitumia ikiisha hata kama umemaliza ndani ya siku tano basi hapo mtandao utashuka speed hadi 2mbps. So kabla huja nunua kifaa cha wifi lazima upate mtu ambae hayupo ki biashara anaeweza kukupa in deep kuhusu aina ya package unayoenda kuchukua kulingana na matumizi yako mana matumiz yanatofautiana na hua mitandao inaweka bei kulingana na thamani ya kitu, na ukipima kitu kulingana na thamani hua ni kama mitandao yote bei zinalingana
Nikikuuliza maswali yangu nikajua unahitajika uwe na router ya aina gani kulingana na matumiz yako hutojutia hela yako uliyotoa kuknunua router
Ushauri ni bure ila itakua vizuri ukinicheki kwa namba yangu cause ku post hapa inaweza kusababisha nionekane naharibu baadhi ya biashara za watu.
Nicheki 0717700921