Ndugu huko Voda unapotaka kukimbilia si salama hata kidogo salio linakatwa bila kutumiwaUnakuta umekopa salio airtel, baadae unalipa hadi ile pesa ya nyongeza iliobaki unaiona, halafu unanunua muda mpya wa maongezi na message ya kwamba umepokea dakika kadhaa inakuja lakini ukipiga simu unaambiwa huna salio la kutosha kupiga simu.
Unapiga huduma kwa wateja 100, unapewa mlolongo wa menu za mambo yote, mikopo, airtel money nk lakini hakuna line ya kuongea na muhudumu, huu ni wizi, Jana nimekatwa na leo pia ni wakati wa kuhama airtel kurudi vodacom au tigo.
Usichukue ushauri huu.Hata mimi nshakumbana nayo sana tu haya mambo.
Vumilia tu kaka.
Kuwa mpole
Usichukue ushauri huu.