Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ndugu zangu, natumia modem ya airtel na nimejiunga na data wiki kifungu cha 15000/. La kushangaza net iko very slow. Naomba msaada namna ya kurecover. Yaani natakiwa nisubiri kwa zaidi ya dakika kumi ili page ifunguke. Nanyi ndo hivyo huko bajameni!!!
Nifanyeje ndg zangu.
Nifanyeje ndg zangu.