O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 1,531 Reaction score 2,140 Jan 27, 2024 #1 Je kila MTU ana experience ratizo hili? Ukitaka kuangalia taarifa za kadi au kutengeza mpya kuna ujumbe napokea ona Toka juzi, nimeshindwa kununua bidhaa, nambieni Voda kukoje nizame maana ni haraka oda isije fungwa
Je kila MTU ana experience ratizo hili? Ukitaka kuangalia taarifa za kadi au kutengeza mpya kuna ujumbe napokea ona Toka juzi, nimeshindwa kununua bidhaa, nambieni Voda kukoje nizame maana ni haraka oda isije fungwa
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Jan 27, 2024 #2 huu uzi wa wTu wenye pesa sisi makapuku tujifute machozi tu