Airtel mtandao ovyo tangu jana hakuna hata taarifa rasmi wala apology

Airtel mtandao ovyo tangu jana hakuna hata taarifa rasmi wala apology

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Watu hawa hawaheshimu wanuka jasho kabisa.

Huduma hovyo, mabando ghali (kwa wale wasiojua vpn) wanafanya wanavyojisikia sababu wnajuaa nape nnauye atawatetea kwa lolote lile keshakuwa msemaji wao.

Tangu jana hadi sasa hivi connection ya airtel ni tiatia maji na wamenyamaza kimyaaa ukipiga customer care wanasema restart simu.

Anyway wanaona labda ni ujinga kuheshimu majinga yasiyoheshimika hata na serikali yao inayowaanbia kila siku kama wamechoka wahamie Burundi.
 
Mkuu hakuna mtandao wa ovyo kama huo laini yao nilishaitupa mda mrefu Sana na unaweza kukaa hata wiki hamna mawasiliano na kwenye net wako ovyo sana
 
Nimehamia huu mtandao siku za hivi karibuni baada kukerwa na Voda niliyokuwanayo kwa miongo mingi sasa hawa nao daah!!

Kuna kipindi niliwahi kuwa Safaricom na MTN hiyo mitandao ni makini sana.
 
Back
Top Bottom