Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Aisee kujua unaibiwa had ujaribu kitu kingine.
Nimekua nikinunua hili bando la 2100 la Gb lakin halikai hata dk tu limeisha.
Sasa hiz siku mbili nimeunga voda GB 1 inakaa sana aisee had sasa nimetumia MB300 tu tangu sa moja na matumizi ni yale yale.
Nimeamini Airtel ni wezi wa bundle kuna namna wanakula saana kwa wizi.
Nimekua nikinunua hili bando la 2100 la Gb lakin halikai hata dk tu limeisha.
Sasa hiz siku mbili nimeunga voda GB 1 inakaa sana aisee had sasa nimetumia MB300 tu tangu sa moja na matumizi ni yale yale.
Nimeamini Airtel ni wezi wa bundle kuna namna wanakula saana kwa wizi.