Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
hiyo hela sasa na nimatumiz binafsi siyo ya oficPole Mkuu dunia imebadilika tumia unlimited bando tu
Nipo ughaibuni….huku ninalipa 40,000/= kwa mwezi niki convert kwa hela ya Tanzania Nina pata Unlimited Internet pamoja na Unlimited calls kupiga ndani ya nchi hii. Hiyo gharama ni Sawa na kulipa Tsh 1300 kwa siku. Sasa najiuliza kwa nini gharama za Internet Tanzania ziko juu sanaaa? Kwa ki fupi tunapigwa sanaaaaaAisee kujua unaibiwa had ujaribu kitu kingine.
Nimekua nikinunua hili bando la 2100 la Gb lakin halikai hata dk tu limeisha.
Sasa hiz siku mbili nimeunga voda GB 1 inakaa sana aisee had sasa nimetumia MB300 tu tangu sa moja na matumizi ni yale yale.
Nimeamini Airtel ni wezi wa bundle kuna namna wanakula saana kwa wizi.
natamani sana uyu jamaa mwenye starlink atuone pia na sisiNipo ughaibuni….huku ninalipa 40,000/= kwa mwezi niki convert kwa hela ya Tanzania Nina pata Unlimited Internet pamoja na Unlimited calls kupiga ndani ya nchi hii. Hiyo gharama ni Sawa na kulipa Tsh 1300 kwa siku. Sasa najiuliza kwa nini gharama za Internet Tanzania ziko juu sanaaa? Kwa ki fupi tunapigwa sanaaaaa
Mkuu Nchi yetu ujinga ni mwingi sanaNipo ughaibuni….huku ninalipa 40,000/= kwa mwezi niki convert kwa hela ya Tanzania Nina pata Unlimited Internet pamoja na Unlimited calls kupiga ndani ya nchi hii. Hiyo gharama ni Sawa na kulipa Tsh 1300 kwa siku. Sasa najiuliza kwa nini gharama za Internet Tanzania ziko juu sanaaa? Kwa ki fupi tunapigwa sanaaaaa