Airtel Tanzania acheni kuruhusu mtu abadili PIN bila kigezo chochote

Airtel Tanzania acheni kuruhusu mtu abadili PIN bila kigezo chochote

JemedariSado

Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
9
Reaction score
10
Ndugu wanabodi.
Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel.

Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti.

Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya kuswap alikua amesahau namba ya siri baada ya kuwapigia simu ili wanipe access ya kupata PIN mpya hawakua wakipokea. Nikaona nifanye kubahatisha kwenda kwenye menu yao namba 7. Kisha namba 1.

Ajabu mfumo ukaniruhusu kuandika PIN mpya bila kuzingatia kigezo chochote, ikawa hivyo hivyo na Kwa mteja mwingine pia aliesahau namba ya siri.

Kuona hivyo nikajaribu na kwenye lain yangu binafsi nikaona jambo ni hilohilo.

Hii ni hatari Kwa mtu anae tunza visenti vyake humo. Punde anapopoteza hiyo lakini.

Rekebisheni hilo Please..... At least kabla ya kuomba PIN mpya mtu ataje details muhimu.
 
Ndugu wanabodi.
Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel.

Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti.

Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya kuswap alikua amesahau namba ya siri baada ya kuwapigia simu ili wanipe access ya kupata PIN mpya hawakua wakipokea. Nikaona nifanye kubahatisha kwenda kwenye menu yao namba 7. Kisha namba 1.

Ajabu mfumo ukaniruhusu kuandika PIN mpya bila kuzingatia kigezo chochote, ikawa hivyo hivyo na Kwa mteja mwingine pia aliesahau namba ya siri.

Kuona hivyo nikajaribu na kwenye lain yangu binafsi nikaona jambo ni hilohilo.

Hii ni hatari Kwa mtu anae tunza visenti vyake humo. Punde anapopoteza hiyo lakini.

Rekebisheni hilo Please..... At least kabla ya kuomba PIN mpya mtu ataje details muhimu.
Mimi pia nilisahau nikaenda kwenye menu yako nikabdali bila kuulizwa chochote, nilishangaa sana, nikajua labda ni mimi tu kumbe ni kwa kila mtu. Sasa hakuna haja ha namba ya siri kwani mtu yoyote anaweza kuibadili na kuweka yake bila swali lolote
 
Ndugu wanabodi.
Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel.

Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti.

Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya kuswap alikua amesahau namba ya siri baada ya kuwapigia simu ili wanipe access ya kupata PIN mpya hawakua wakipokea. Nikaona nifanye kubahatisha kwenda kwenye menu yao namba 7. Kisha namba 1.

Ajabu mfumo ukaniruhusu kuandika PIN mpya bila kuzingatia kigezo chochote, ikawa hivyo hivyo na Kwa mteja mwingine pia aliesahau namba ya siri.

Kuona hivyo nikajaribu na kwenye lain yangu binafsi nikaona jambo ni hilohilo.

Hii ni hatari Kwa mtu anae tunza visenti vyake humo. Punde anapopoteza hiyo lakini.

Rekebisheni hilo Please..... At least kabla ya kuomba PIN mpya mtu ataje details muhimu.
Washajichokea hao, ndiyo maana hata huduma kwa wateja hawajisumbui kupokea simu.

Dawa yake ni kumiliki laini zaidi ya moja na pesa zihifadhi kwenye mitandao yenye kujielewa ama benk kabisa.
 
Mimi pia nilisahau nikaenda kwenye menu yako nikabdali bila kuulizwa chochote, nilishangaa sana, nikajua labda ni mimi tu kumbe ni kwa kila mtu. Sasa hakuna haja ha namba ya siri kwani mtu yoyote anaweza kuibadili na kuweka yake bila swali lolote
Uko sahihi mkuu hebu fikiria umepoteza simu, usalama wa hela Yako unakua ni mdogo sana
 
Washajichokea hao, ndiyo maana hata huduma kwa wateja hawajisumbui kupokea simu.

Dawa yake ni kumiliki laini zaidi ya moja na pesa zihifadhi kwenye mitandao yenye kujielewa ama benk kabisa.
Kama Mimi binafsi nnaweka visenti kwenye timiza account.... Hata sijui nifanyeje
 
Mhh hii ni hatari na vipi kwa mawakala wa airtel...flaoat zao zitakuw salama kweelii??
 
Ndugu wanabodi.
Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel.

Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti.

Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya kuswap alikua amesahau namba ya siri baada ya kuwapigia simu ili wanipe access ya kupata PIN mpya hawakua wakipokea. Nikaona nifanye kubahatisha kwenda kwenye menu yao namba 7. Kisha namba 1.

Ajabu mfumo ukaniruhusu kuandika PIN mpya bila kuzingatia kigezo chochote, ikawa hivyo hivyo na Kwa mteja mwingine pia aliesahau namba ya siri.

Kuona hivyo nikajaribu na kwenye lain yangu binafsi nikaona jambo ni hilohilo.

Hii ni hatari Kwa mtu anae tunza visenti vyake humo. Punde anapopoteza hiyo lakini.

Rekebisheni hilo Please..... At least kabla ya kuomba PIN mpya mtu ataje details muhimu.
Kabla hujabadiri namba yako ya siri, unahitajika kuweka namba yako ya sasa, je wewe hii namba unaipataje? huoni kuwa ni control tosha?
 
Wanasema ukiwa na hela zaidi ya elfu 10, haikubali kubadili pin kwa njia uliyotaja.
 
Hatari Kubwa Yaani Mtu Wa Airtel Akikuachia Simu Dakika 10
Unapakua Cash Alizotunza Zote Unahama Nazo
Kwa hali hiyo hizo dakika 10 ni nyingi mno labda umeongeza na dakika za kukuchaji simu yako.

Ni chini ya dakika 2, anabadiki pin na kujitumia pesa chap tu.

Hii mitandao inataka sana kutumia AI ila naona kuna maenel kidogo wanavuja. Siku hizi ukiwapigia hawapokei na voda ndio hawana kabisa option ya kuongea na muhudumu wanataka ujihudumie kwa ussd au maelekezo kwa kupiga 100, ilhali baadhi ya vitu havipo kwenye hizo menu zao.


Ukiwafata kwenye mitandao ya kijamii bado wanakupa roboti tena ambalo kazi yake ni kurudia majibu yaleyale waliyolikalilisha.
 
Back
Top Bottom