Airtel Tanzania-Internet mikoani majanga

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Ndugu zangu, mimi nimekuwa nikitumia airtel line kwenye modem kupata internate na wakati mwingine kutumia kwenye Samsung galaxy tablet 2 kupata internante.Cha ajabu nikuwa hivi karibuni utanapata connection lakini uploading na downloading ni 0. Kwanini hii hali inatokea wakati siku za nyuma Airtel ilikuwa ndo mkombozi. TCRA wanafanya nini mbona hwaangalii ubora wa mitandao hii.

Asanten
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…