tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
mngetusaidia kuweka hizo gharama hapa.....tungejua pa kuanzia....
Sasa kusema tu hivi haitoshi........
Usibishe sana mkuu fuatilia ukweli wa taarifa hizi, maana mimi leo bundle yangu inapunguwa mb kwa spidi ya kutisha.acheni uwongo, mbona mimi nimenunua bundle jana jioni 400MB kwa 2500/- tu hiyo bei imepanda lini?
acheni uwongo, mbona mimi nimenunua bundle jana jioni 400MB kwa 2500/- tu hiyo bei imepanda lini?
rates rates rates zikoje? hasa hizi za wiki na mwezi????
Ungeanzisha thread yako, hatuhitaji sparm katika thread hii please ndugu yangu. hizo sanaa tunazifahamu tangu miaka ya 90 na sio leo.people pia kwa wanaohitaji kupiga job through internet wanitumie email zao kwakutumia ebenezerlema@yahoo.com..