AIRTEL TRACE MUSIC STAR: Mayunga atoa wimbo wake na Akon - Please don't go away

Mayunga mayunga mayunga mayunga, inasikika kwa mbaaaali. The song is very nice, very promising future for this kid of ours.
Tumsupport huyu

Mimi kwenye huu wimbo nampongeza sana Akon kwa kweli ni track nzuri, pili sijajua mayunga kaimba verse ya ngapi na akon verse ya ngapi maana naona sauti zinafanana

 
Mawingu FM watamshobekea sasa hivi huyu dogo
 
Akon yeye kataja mayunga tu mwanzo.mwisho hajaimbaa
 
Huu wimbo Mayunga ajaandika, yeye alienda kuimba.
Whatever.Unajua biashara za mziki zinavyofanyika kwa wenzetu waliofanikiwa au unaongea usichokijua.Sio waimbaji wote huko Ulaya na Marekani wanatunga wenyewe,wengi wananunua mashairi.
 
Mimi kwenye huu wimbo nampongeza sana Akon kwa kweli ni track nzuri, pili sijajua mayunga kaimba verse ya ngapi na akon verse ya ngapi maana naona sauti zinafanana

Kijana kaimba wimbo mzima, Kuna video iko youtube.com inayoonesha dogo akirecord hiyo nyimbo! Akon kaimba hayo maneno Mayunga mayunga tuuu
 
mbona sijaisikia sauti ya akon? any way naomba untumie pm kama waweza nisaidia
 
Hiyo title haiendani kabisa na yaliyo ndani. Nilitegemea kukuta charts za kimataifa alizoingiza wimbo wake, au tours za maana.

Kuimba vizuri ni kitu kimoja, kufanya vizuri ni kitu kingine.
 
dogo tatizo kama nyota yake ni hafifu sana,yani kwa jinsi alivofanya nilitegemea kuona anatrend sn kwenye media,ila watu wanaonekn bdo wako baridi sana kwa huyu dogo...so,jamaa ni mzuri tu ktk uimbaji ila tatizo ni nyota tu!
Ila akiendelea kukomaa ipo siku ataing'arisha.
 
Nadhani inabidi asaidiwe! Ni jukumu la sisi watanzania kumsaidia kibiashara!
 
mbunge wa ulanga hakawii kusema sanamu lililoko posta litolewe awekwe dogo mayunga kwani anaiwakilisha vizuri tz
 
Media na wabongo wanataka mpaka dogo achukue bongo movie moja ndio waanze kumpa promo
 
Mi nadhani dogo ange-sign mkataba na Sallam_SK angefika mbali sana... Hata WCB pia angetoka cuz jamaa wanajua kucheza na Soko
 
Ni jambo la kawaida kwenye biashara ya muziki, haipunguzi uwezo wa kijana wetu! Ni muimbaji mzuri na wimbo ni Mzuri kuliko.
Nimeona clip ya safari yake mpaka alivyorekodi huu wimbo unaona jinsi producer alivyokua na kazi rahisi, the boy is good
And the idea behind kwa sasa is to create a Singer ambae anaweza kucheza na different melodies endapo anatengenezewa. Haya mambo mengine kama kutunga mashairi mwenyewe, kubuni melody mwenyewe yapo tu and sometimes yanakuja with time... first singing talent ndicho hutafutwa.
 
You nailed it! Hana haja ya kupoteza focus kujifunza uandishi kwa sasa, awekeze kuimarisha uimbaji, utumbuizaji na the business part of it. Watu walio kwenye local industry ya muziki lazima wampokee dogo kwa niaba yetu wa tz! The kid will incredibly increase our share in the international market! We have got to do something
 
T
Yaani nimesisimkwa baada ya kuisikia hiyo ngoma... only because I was told in advance kwamba ni Mayunga or else ningezani a certain experienced artist ambae simfahamu. Nilichopenda zaidi ni kwamba vocal zake zina international touch na sio local.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…