Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha masihala bwana wadau kuna kaz nataka niifanye hapaUlitaka kuongea na popo usiku
🤣🤣🤣 sawa mkuu.Acha masihala bwana wadau kuna kaz nataka niifanye hapa
Nchi imeuzwaUsiku bando kwishnei 0000000
hahahaha mbona hawajatulipa sasa?Nchi imeuzwa
Kazi tunayo safari hii! Kigamboni bora tungempa Bashite, huyu Ndungulile katuuza![emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa mkuu.
Si Airtel tu mitandao yote imestisha vifurushi visivyo rasmi (Ofa) kwa mda
Kweli mkuu apewe bashite wa koromijeKazi tunayo safari hii! Kigamboni bora tungempa Bashite, huyu Ndungulile katuuza!
Dah !!!hahahaha
Tuvumiliane watarudishaDah !!!
Uvumilivu kwisha! Hawa watu tukiwachekea kuna siku wataja fanya maamuzi ya ajabu mpaka mshangae.Tuvumiliane watarudisha
Nenda kakojoe ulale ww bado una ndoto za mchanaSisi wenye kadi za CCM bado kipo hawajatoa.
Uvumilivu kwisha !!! Hawa watu tukiwachekea kuna siku wataja fanya maamuzi ya ajabu mpaka mshangae
Tupafanyaje wadau kila tobo wanaziba watu tunakesha ila mambp yaende qao wanaleta nongwa
Mm ushaur wangu tupaze kwenye page zao zote kuanzia facebook.twiter nk maana nikisema maandamano najua hamuwez
Wadau huyu jamaa tumfanye nini mm nilijua problem ni jiwe kumbe mmmh tuna safar ndefu sana
Tutateseka sana mwaka huuWadau huyu jamaa tumfanye nini mm nilijua problem ni jiwe kumbe mmmh tuna safar ndefu sana