Airtel wamefuta amsha popo duh

Airtel wamefuta amsha popo duh

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Habar wadau!

Nataka nidownload movie hapa amsha popo wamefuta tunafanyaje
 
Bora Mimi niliunga kile cha kuongea Kwahiyo Nina mwezi Mzima wa kuongea.
 
Tuvumiliane watarudisha
Uvumilivu kwisha! Hawa watu tukiwachekea kuna siku wataja fanya maamuzi ya ajabu mpaka mshangae.

Tupafanyaje wadau kila tobo wanaziba watu tunakesha ila mambp yaende qao wanaleta nongwa

Mm ushaur wangu tupaze kwenye page zao zote kuanzia facebook.twiter nk maana nikisema maandamano najua hamuwez
 
Uvumilivu kwisha !!! Hawa watu tukiwachekea kuna siku wataja fanya maamuzi ya ajabu mpaka mshangae

Tupafanyaje wadau kila tobo wanaziba watu tunakesha ila mambp yaende qao wanaleta nongwa

Mm ushaur wangu tupaze kwenye page zao zote kuanzia facebook.twiter nk maana nikisema maandamano najua hamuwez

FB_IMG_16174354430883777.jpg
 
Voda pia wamechomoa freebasics...

Chanzo cha yote haya Kigogo..
 
Back
Top Bottom