The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Mimi nilianza kutumia mtandao wa airtel baada ya wao kutangaza kuanza mawasiliano ya mfumo wa 4G, nikajua labda wataleta mapinduzi dhidi ya vodacom 4G ambayo nimekua nikitumia kwa miaka zaidi ya 2 iliyopita, ila imekua kinyume na matarajio yangu, 4G ya airtel ni ya hovyo kuliko 3G ya vodacom.
Nadhani airtel hawakua wamejipanga kabla hawajazindua huu mfumo wa mawasiliano wa data wa 4G. Airtel wana vifurushi bomba kabisa ila havina maana kwa sababu hakuna uzuri wake, airtel 4G video clip za whatsapp statuses huwezi kuangalia moja kwa moja, sekunde kadhaa, inastak, sekunde kadhaa inastak. Hua inakua vizuri muda wa usiku tu.
Airtel jipangeni, haya mambo hayahitaji uharaka bali maandalizi. Pamoja na hilo bado nitawapa muda zaidi nikiamini mtabadilika, vinginevyo nyie sio wazazi wangu.
Nadhani airtel hawakua wamejipanga kabla hawajazindua huu mfumo wa mawasiliano wa data wa 4G. Airtel wana vifurushi bomba kabisa ila havina maana kwa sababu hakuna uzuri wake, airtel 4G video clip za whatsapp statuses huwezi kuangalia moja kwa moja, sekunde kadhaa, inastak, sekunde kadhaa inastak. Hua inakua vizuri muda wa usiku tu.
Airtel jipangeni, haya mambo hayahitaji uharaka bali maandalizi. Pamoja na hilo bado nitawapa muda zaidi nikiamini mtabadilika, vinginevyo nyie sio wazazi wangu.