Habari zenu wanajamvi. Jana nimepiga simu saa 2 usiku. Cha kushangaza ilikatwa tsh 300 kwa dakika 1. Kuthibitisha kua haikua bahati mbaya wakanitumia ujumbe usemao, "sasa piga simu kwa sh 2/sekunde kuanzia 12jion hadi 4 usiku". Jamani nawasilisha, mwenye mchango zaidi karibu.
hahaha! Hamia tiGO bana. Gharama hazipandi kiivyo na hawanakili kutoka kwa wengine....
'SOTE NI NDUGU'
Habari zenu wanajamvi. Jana nimepiga simu saa 2 usiku. Cha kushangaza ilikatwa tsh 300 kwa dakika 1. Kuthibitisha kua haikua bahati mbaya wakanitumia ujumbe usemao, "sasa piga simu kwa sh 2/sekunde kuanzia 12jion hadi 4 usiku". Jamani nawasilisha, mwenye mchango zaidi karibu.
mitandao yate sio yakuaminika, hata kama unaibiwa hakuna pakulalamikia
Hamia koteeee!! TIGO usiende hao ni useless. Sehemu kama makumbusho, network ni hovyo! Tulia nao tu watarekebika. Vinginevyo utahama mpaka ukome ubishi!