Aisee Diamond mbona sasa unaanza kunabong'oa?

Kuna picha ya Afande Sele akiwa ameteremsha suruali ambayo niliiona humu humu. Watuwalicomment kuwa hayo ni madhara ya bangi. Sijui dogo naye anapuliza?
 
Utaka mpulizo kama ule wa nyumba fulani ya ibada,,
 
dogo ana dalili za kutaka kuanza kumegwa huyu.hata elton john nae alianza hivi hivi.
 
Jamaa alintia wasi wasi baada ya kuona akikata mauno aisee naona nw kaamua tangaza biashara kbsaaa..Anadhan na yy ni Eminem kumbe ni mtoto wa mbagala..aje kushusha hiyo suruali Arusha asikilizie mziki wake
 
Jamaa alintia wasi wasi baada ya kuona akikata mauno aisee naona nw kaamua tangaza biashara kbsaaa..Anadhan na yy ni Eminem kumbe ni mtoto wa mbagala..aje kushusha hiyo suruali Arusha asikilizie mziki wake

mbagala hakunaga mabwabwa he is frm tandale cjui huko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…