SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Jamani wanajamvi wenzangu,
Katika kupitia makala mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani nimegundua kuwa ufugaji wa mbuni una faida kubwa sana na hauna gharama kubwa kwa sababu mbuni anapendelea kula majani kama chakula chake kikuu, gharama kubwa ambayo muwekezaji anayeanza kuwekeza ataingia ni ardhi kubwa isiyopungua heka mbili na ujenzi wa uzio (fency).
Tatizo kubwa ambalo mimi naliona ni upatikanaji wa vifaranga au mayai ya mbuni kutoka mamlaka ya hifadhi ya wanyama poli Tanzania na idhini ya ufugaji kutoka serikalini au taasisi inayohusiana na mambo hayo (mimi sifahamu taasisi yeyote inayouza vifaranga au mayai ya mbuni).
Naomba wenye kujua namna ya kutatua hilo tatizo nililoliona wanisaidie.
Tafadhali wanajamvi karibuni kwa mjadala.
Katika kupitia makala mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani nimegundua kuwa ufugaji wa mbuni una faida kubwa sana na hauna gharama kubwa kwa sababu mbuni anapendelea kula majani kama chakula chake kikuu, gharama kubwa ambayo muwekezaji anayeanza kuwekeza ataingia ni ardhi kubwa isiyopungua heka mbili na ujenzi wa uzio (fency).
Tatizo kubwa ambalo mimi naliona ni upatikanaji wa vifaranga au mayai ya mbuni kutoka mamlaka ya hifadhi ya wanyama poli Tanzania na idhini ya ufugaji kutoka serikalini au taasisi inayohusiana na mambo hayo (mimi sifahamu taasisi yeyote inayouza vifaranga au mayai ya mbuni).
Naomba wenye kujua namna ya kutatua hilo tatizo nililoliona wanisaidie.
Tafadhali wanajamvi karibuni kwa mjadala.