Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

Pesa pesa pesa,watu wananunulia wake zao hizi ndinga.hatari sana
 
[emoji28][emoji28][emoji28] mapenzi bhana.
 
Ila hawa Mitume sijui Manabii Mungu tu atusaidie, Kuna dada juzi nimekutana nae ananiambia yy kuna wakati maisha yakienda ndivyo sivyo akapata deal la kwenda kwa Gwaji Boy wanapagwa wanakuwa kama wanatoa ushuhuda wakimaliza wanakula 80k anasema amefanya hivyo kwa miaka kadhaa na amepeleka wapigaji kama yy zaidi ya 10. Mungu tusaidie.
 
Kwani simba aliishia wapi na ndinga kama hii [emoji16][emoji16][emoji16]

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Haya maisha bana kilakitu huja kwa wakati wake post ya 2017 kuna watu wali kua wanauliza kuhusu ahadi ya diamond kununua Rolls Royce na amenunua kweli sasa endelea kushangaa maendeleo ya watu "muda ni Mali" wake up its 2021
 
wadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.
Nyie ni mnastahili K tu kwa mana mkipendwa mnajiona sana mnaanza madharau .
Hampendi kusaidiwa mkizawadia vitu vikubwa mnaanza kusahau wajibu wenu.
Mnaenda kuongeza michepuko mnazaa njee mnalewa mnapiga watoto na wake zenu .
Mie nitamzawadia mwanaume K tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…