KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ukiwa mtoaji ata wewe utapokeawadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/sisi mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.
Acha tu mkuuKweli life is not fair and has never been fair at all
yaani anniversary tu zawadi ndinga Kali namna hiyo!!
Mbunye imekolezwa ikakoleascreenshot na picha zinajieleza.
Mawazo ya kimasikini haya!!Vanity upon vanity
Mawazo ya kimasikini haya!!
Tafuta hela. Sio kila kitu kusingizia kifo, kwa hiyo hata kula hauli kisa unajua utakufa?
Utilize yo life scale bana!!!
Post sent using JamiiForums mobile app
Hapo jirani nao nina hakika kuna watu hawana uhakika wa matibabu...pengine zahanati haina dawa ama maji safi...badala ya kujivunia matumizi hasi ya sadaka za waumini, ni afadhali wangesaidia wasiojiweza..Kweli life is not fair and has never been fair at all
yaani anniversary tu zawadi ndinga Kali namna hiyo!!
Omba maisha marefu!Ngoja tuone mwisho wake
Safi mkUuwadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.