Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

Yaani mkuu. Sasaivi wapigaji wengitu..ila mbaya sana kutumia neno la mungu katika mazingira ambayo haya akisi imani thabiti

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kibongo bongo demu akijipinda sana anakuzawadia boxer

Everybody is somebody
 
Hapo tu ndipo ninapochoka na hawa "Manabii". Possesion ya vitu vya kidunia kwanini wanaweka mbele?Mungu atuhurumie maana siku ya mwisho watu watalia sana kwa kupotosha ukweli.


Kaka ukiwa maskini sio laazima wote uwe maskini.kwako wewe hiyo ni hanasa lakini kwa hyo Prophet ni kitu cha kawaida cause yeye ni mfanyabiashara mkubwa anamilik viwanda mwezanko tena vya madini
 
Hapo jirani nao nina hakika kuna watu hawana uhakika wa matibabu...pengine zahanati haina dawa ama maji safi...badala ya kujivunia matumizi hasi ya sadaka za waumini, ni afadhali wangesaidia wasiojiweza..

Unauhakika hizo ni sadaka za waumini ? unajua Prophet Bushiri anafanya biashara ghani,kama hujui ni vizuri usikurupuke kuongea
 
Kaka ukiwa maskini sio laazima wote uwe maskini.kwako wewe hiyo ni hanasa lakini kwa hyo Prophet ni kitu cha kawaida cause yeye ni mfanyabiashara mkubwa anamilik viwanda mwezanko tena vya madini

Mkuu you are misquoting me tafadhali!!Swala si umaskini,swala kinachoendelea nyuma ya utumishi wa Mungu.Basi asingekuwa anakusanya sadaka kama kigezo ni kuwa mfanya biashara mkubwa.Angekuwa anawagawia waumini wake pesa badala ya yeye kuchukua inform of sadaka.

Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
 
Angalia jamaa angalia mke, angalia magari, kuna dini hapo kweli? Unabii au utapeli wa imani za watu?!

Kwahyo ukiwa maskini na unavaa kishamba ndio inaonyesha kunadini na ndio unapenda MUNGU ?
 
Mke wa mchungaji anavaa suruali

Apo hamna kanisa mnaibiwa tu.
 

Naona unaendelea kujicontradict,imeandikwa wapi kwenye bibilia mchungaji akiwa tajiri anatakiwa asikusanye sadaka ? nani kakuambia kwamba sadaka zinatumika tu kwa ajiri ya matumizi binafsi ya mchungaji ? je unaweza kutuleta kinachoendelea nyuma ya utumishi wa wa Prophet Bushiri ? ukiwa huna taarifa sahihi si vizuri kuongea kitu usichokijua
 
Uyo mke kavaa suruali
 

Unaweza kuelezea kidogo namna masanja anavyofanya ujasiri dini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…