AISEE SERIKALI IMETUKAMIA WALIMU BASI NJOON MTUUE BASI

AISEE SERIKALI IMETUKAMIA WALIMU BASI NJOON MTUUE BASI

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
237
Reaction score
165
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.
Jipangene jamaa wapo siriasi.
Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.
Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.
Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.
Raisi amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.
Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
 
Ukikaa nchale ukisimama nchale kwa sasa hakuna parahisi hadi Afya mwendo ni huo huo.
 
Ni vizuri lakini....mtu hujui Kiingereza afu ni mwalimu...ulivukaje...
 
Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.
Raisi amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.
Hamna kitu, wanawaandaa kuwahadaa ili wawatumie kwenye kuiba kura wakati wa uchaguzi ujao, wakishatumika wanakua dusted. Hapo ni mkwara ili Walimu watishike.

Hili suala lilitakiwa lisimamiwe na CWT na sio Bunge, KAZI ya CWT ni kuibia Tu Walimu huku wao wakichekelea
 
Hamna kitu, wanawaandaa kuwahadaa ili wawatumie kwenye kuiba kura wakati wa uchaguzi ujao, wakishatumika wanakua dusted. Hapo ni mkwara ili Walimu watishike.

Hili suala lilitakiwa lisimamiwe na CWT na sio Bunge, KAZI ya CWT ni kuibia Tu Walimu huku wao wakichekelea
tufanyeje tuivunje CWT! 😏
 
Na kuwafunga VIONGOZI wake wote, imagine Watu wanamiliki Bank lakini wao wenyewe hawana account hapo. Wote Hadi VIONGOZI wao wako NMB na CRDB

hivi walimu si ndio wenye jukumu la ku-impart knowledge kwa watu? Kwanini washindwe kuyasimamia mambo yao, watu tunaoamini ni knowledgeable

ila kiukweli tuna wasomi wajinga sana
 
Back
Top Bottom