HAYA: The most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in KenyaMchaga hata apate kazi bank, ukimuuliza atasema yupo kibaruani. Acha sasa Mhaya apate kazi katika mashine ya kusaga na kukoboa
utasikia "I work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company"
sijamtaja mtu..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwel mkuu hawa wajamaa nimewaona sn hapa mjini...starehe yao kuu ni Bia na Kitimoto[emoji23]Mhaya akinunua Range nchi mzima itajua, wakati wachaga wameshusha magorofa migombani huko lakin ukiwakuta Dar hawana habari busy na biashara
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwel mkuu hawa wajamaa nimewaona sn hapa mjini...starehe yao kuu ni Bia na Kitimoto[emoji23]
Mhaya gani ataongea Kiingereza uchwara hivyo? Crucial engineer ni nini? Umetunga wewe unawasingizia wahaya. Kabila lako je, MNA sifa gani au hata kulitaja unaona aibu?Mchaga hata apate kazi bank, ukimuuliza atasema yupo kibaruani. Acha sasa Mhaya apate kazi katika mashine ya kusaga na kukoboa
utasikia "I work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company"
sijamtaja mtu..!
Sasa unaweza kuwa na gari kijijini halafu wanakijiji wadijue? Gari ni sindano, ebo?[emoji23] [emoji23] poa nimekusomaa!!
Sema nini,Wachagga huwa wana tabia ya kutorizika na walicho nacho wanataka zaidi na zaidi:
Kwa wahaya hata awee na gari tuu Kijiji chote kinajua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121]
Ulitaka wamninii mama yako?[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwel mkuu hawa wajamaa nimewaona sn hapa mjini...starehe yao kuu ni Bia na Kitimoto[emoji23]
Umeishia la ngapi,Labda nije hv Unajua sehemu mpaka iitwe kijijini ni muanganiko wa (mitaa) vitongoji vingapi mkuu???Sasa unaweza kuwa na gari kijijini halafu wanakijiji wadijue? Gari ni sindano, ebo?
No,.....mbn unaenda sipo,Au unataka kulianza Nilimalize??Ulitaka wamninii mama yako?