Aisee.....wahaya wanaonewa....

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mhaya gani ataongea Kiingereza uchwara hivyo? Crucial engineer ni nini? Umetunga wewe unawasingizia wahaya. Kabila lako je, MNA sifa gani au hata kulitaja unaona aibu?
Ukisikiaa maweeeee! Ujue jiwe la gizani limempata mhusika .
Ila kuna asilimia fulani sisi wahaya tunatabia hizi

Lakini watu kiasi fulani wamejitahidi kubadilika sana siku hizi , tabia hizi za majivuno zimepungua kwa kiasi fulani siku hizi[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Umeishia la ngapi,Labda nije hv Unajua sehemu mpaka iitwe kijijini ni muanganiko wa (mitaa) vitongoji vingapi mkuu???
La ngapi ndio nini?
Sentence yako haijakamilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…