Aiseee! Aggrey bwana

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
"Hivi karibuni nimeumwa nusu nife, nimemshuhudia Mungu kwa macho yangu akinirejeshea uhai, hili ni funzo hata kupona kwangu bado nashangaa sijui imekuwaje. Kuanzia leo nafuta kila kitu kibaya kwangu nakuwa mpya, namrudia Mungu, mimi sio mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja tena, nampenda Mungu na nitamtumikia siku zote za uhai wangu"- Agrey
 

Attachments

  • FB_IMG_1734193398945.jpg
    44.2 KB · Views: 5

Kasongo yeye mobari na ngai.....Ni kazeze ni kazeze ni kazeze.
 
Jamii kumkubali tena kama mwanaume hapo itakuwa changamoto, na kama mfumo wa kuendesha maisha yake ulitegemea zaidi kupata wanaume ndio ale, huo utakuwa mtihani mwingine, mtaani kugumu kama hauna mishe
 
Ana wazazi wako hai kweli.kama ndio wanamtambua kama kijana wao au walisha msusa.mtoto kama huyu napiga shaba tu ni aibu
 
Halafu unajua kuwa huyu ni mwanachama wa CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…