Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Form oneKwenye sahani au bakuli
Sijui kama upande me unafanya kaziAmefanya maamuzi mazuri. Sema utekelezaji wake ni mgumu.
Unafikiri kuna nini hapo mkuu huyo ndio wale bila kusurubika sehemu za siri vtu haviendiHuko kwenu kula mpaka mliwe.
Huyo atarudi hukohuko muda utasemaAhame mkoa, aende sehemu ambayo hafahamiki, atapiga maisha bila shida ataoa atakuwa na familia
Huyu kuna kipindi alirudishwa kwao Moshi njaa ilipozidi akarudi sokoni Dar. Watej wakaliendelezaEti atakula wapi!?
Kwa injini ipi Mkuu.. maji yalishamwagika..... Hii ngoma sidhani kama mnara unasoma Tena.Ahame mkoa, aende sehemu ambayo hafahamiki, atapiga maisha bila shida ataoa atakuwa na familia
Aende tambarare segese huko akachimbe madiniShida ni atakula wapi??
utasoma kama ameacha kweliKwa injini ipi Mkuu.. maji yalishamwagika..... Hii ngoma sidhani kama mnara unasoma Tena.