Aiseee! Aggrey bwana

Sheria zetu zinakataza mapenzi ya jinsia moja shida huwa ni kuthibitisha.
 
Ahame mkoa, aende sehemu ambayo hafahamiki, atapiga maisha bila shida ataoa atakuwa na familia
Kwa injini ipi Mkuu.. maji yalishamwagika..... Hii ngoma sidhani kama mnara unasoma Tena.
 
Hii ndio mijitu ya kutupiwa kansa, kisukari, pressure, magonjwa ya figo n.k.

Kuna watu wa maana wanaumwa sana, lkn pimbi kama hili linajitafutia shida lenyewe.
 
Si anabwia njugu? Akae afate lishe vzr na kunywa dawa kwa wakati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…