Aiseee!!! watanzania ni balaa

[emoji53][emoji53][emoji53]
View attachment 517690
Makonda...wakati anaingia ushirika alijiunga kwanza na Chadema siasa za shule....na mzee ndesa.alikuwa akimsaidia sana yeye na wenzake wengine
Wakati fulani makonda akaanza kuwa na marafiki ccm...akajakutambulishwa kina sita ,mwakyembe ...basi akahamia mzima mzima
So huyu Ndesa alimsaidia wakati mgumu sana pia kuna wakati alimtambulisha kwa Freeman naye akawa anamsaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…