kitako cha sufuria
Member
- Nov 1, 2016
- 78
- 24
Uzi Hii wa kitambo...sema wé umefukua makaburi tuMkuu kwani Huyo csta si alisharest in peace kitambo! Au ni kumbukumbu yake Mimi sijaelewa huu zi mkuu! Na nini matink ya hili!
Dah! Mkuu unaota ndoto za makaburini!!
una jambo lako sio bure
Tunapita "TU" ...................!?Kwa taarifa niliyoipata muda huu toka Clouds Fm. Amefikishwa Mwananyamala Hosp, akiwa tayari keshapinda.
Watanzania siyo watuKwani huyu alikuwa kwenye hii CHAIN ya sasa?
Mtoto alikuwa mashallah, mzuri sana, azidi kupumzika alipo......😭Nimemkumbuka tu
Umenishtua.Nimemkumbuka tu