Ngoma inaweza kusababisha heart condition i.e cardiomyopath ya aina ya Infectious cardiomyopathy..ambayo inaweza tokana na infection yeyote kati ya hizi; HIV, Lyme disease, Chagas disease, viral myocarditis, and other infections can cause this condition.
Hii kitu itapelekea weaken of heart muscles, mitrial or/and aortic stenois, valves prolapses e.t.c na kupelekea mgonjwa kupata Congestive heart Failure (CHF)...ambayo itasababisha edema kwa lower ext(s), dyspenia e.t.c.......
Kuna mengi yanayoweza kusababisha ugonjwa wa kuvimba miguu kwa huyo dada!! Lakini ndugu
Kang, hii ilikuwa ana attempt kukuonyesha kwamba ngoma huwezi ukai-rule out hasa tokana na umri wa huyo dada...
Kama una ubavu, soma hiyo article hapo chini ya hao Wahindi wa UCSF (University of California, San Fransisco)! Case yao imetoka kwa "neighborhood" hapo Uganda...paper imetulia, take your time isome yote kwa uzima wake...
hivinsite.ucsf.edu/InSite?page=md-ccl-ca-06]Case 6: Lower Extremity Edema and Dyspnea[/B]