Aisha madinda; banza stone alinifundisha kutumia madawa ya kulevya.

Aisha madinda; banza stone alinifundisha kutumia madawa ya kulevya.

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mnenguaji big name bongo aisha madinda,amefunguka kuwa banza stone ndiye aliyemfundisha kuvuta bangi." Niiliingizwa na banza stone kwani tulikuwa tunamuomba bangi ya kawaida kumbe alikuwa anatuchanganyia na madawa ya kulevya,mwisho tukajikuta tumekuwa mateja na tulikuwa wasichana kama watatu,jameni acheni unga ulinitesa". Alisema madinda.
 
Amefundishwa wala hakutaka kutumia hayo madawa
 
Aisha Madinda.............................................Martin Kadinda......................................mmmmmmmmmmmmh
 
Huu ni ujinga kabisa ina maana alikuwa ajui zuri na baya. Ina maana alikuwa under 18?

huyu nae ni kichaa.
 
She is innocent,alikuw hajui kama ni madaw,alijua bangi tu ila banza ndo alikuw anamchanganyia na madawa,nyie banzi sio mtu mzuri kabisa,wewe aisha hauna hat hatia mtoto wa watu
 
She is innocent,alikuw hajui kama ni madaw,alijua bangi tu ila banza ndo alikuw anamchanganyia na madawa,nyie banzi sio mtu mzuri kabisa,wewe aisha hauna hat hatia mtoto wa watu

Kwani Bangi si dawa ya kulevya??? au ni mboga kama inavyoliwa na kule Ir*N*A
 
Back
Top Bottom