OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ameshavuka kiwanga cha Tanzania One, sasa ni Afrika One. Bahati nzuri CAF inatambua kazi zake.
Hiyo ni moja ya save matata sana, ambayo mimi na wenzangu tulishashika vichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa
Ameshavuka kiwanga cha Tanzania One,sasa ni Afrika One. Bahati nzuri CAF inatambua kazi zake.
Hiyo ni moja ya save matata sana,ambayo mimi na wenzangu tulishashika vichwa
Unapenda Sana umbeaHuyu ni nomaa. Sema wale wale warusha makombora ya kichawi ndo huwa wanapitisha bila yyeye kuona
Karibu na ww tushirikiUnapenda Sana umbea
Aliokoa nchiJana Air Manula alifanya jambo moja la kishujaa sanaa....
Ananifanya anaharisha kabisa.Uwezi ukawa tunu ya Taifa wakati ukiambiwa Leo Mayele atacheza unajifanya mgonjwa. Ni Bora mtangazi Tunu Hassan Shenkome namuelewa kama Tunu ya Taifa.
Hilo ni shati kabisa.Aishi yupi,Huyu huyu anayepigwaga na Faisal mashuti ya mbali?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Akili matope hizi
Ameshavuka kiwanga cha Tanzania One,sasa ni Afrika One. Bahati nzuri CAF inatambua kazi zake.
Hiyo ni moja ya save matata sana,ambayo mimi na wenzangu tulishashika vichwa
Hiyo tunu icheze peke yake tuone Simba itashinda ngapi
Ameshavuka kiwanga cha Tanzania One,sasa ni Afrika One. Bahati nzuri CAF inatambua kazi zake.
Hiyo ni moja ya save matata sana,ambayo mimi na wenzangu tulishashika vichwa