Aishi vipi na mkewe hali ya kuwa mkewe ni muathirika?

mkuu ahsante umeshazungumza yote la msingi azingatie hayo maelekezo
 
Huyo mwanaume amrudishe huyo mwanamke alipomtoa. Na hata mahari asidai... Awarudishie binti yao tu wasaidie kulea. Kuongezewa damu zidhani kama inaweza ikawa sababu. Kwani wakichepukaga wanasemaga?
 
aisee mtukutu yuko fiti,,alotulia kaukwaa hii ngumu kumeza asee,,kama walimshauri mke akiwa mzima aolewe bhasi jamaa ajivutie zake mzigo mwingine maisha yasonge,,

sema inahitajika roho ngumu sanah
 
Watu Wa Tiba asili ya ukimwi mko wap mi naskia kuna Dawa kila kukicha njooni jamani
 
Hakuna sababu ya kuachana, mama atumie ARV washiriki mapenzi kwa kutumia kondomu.. Changamoto hutokea pale ambapo wanataka mtoto mwingine, japo hata hilo linawezekana pia.. Anyway karibu hospital tukuhudumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…