Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,986 Jan 8, 2016 #1 Sijui kama wapo wrong au ni sahihi jamaa ni mtunisia!! Attachments 1a855b5a-d541-4297-a41d-71b0843af22e.jpg 85.5 KB · Views: 34
Dragoon JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 7,012 Reaction score 8,139 Jan 8, 2016 #2 Hawana imani na wabongo
Myahudi Jr II JF-Expert Member Joined Jan 7, 2016 Posts 6,816 Reaction score 8,809 Jan 8, 2016 #3 wabongo hatuaminiki kwa kila kitu
Ekotike JF-Expert Member Joined Jan 6, 2016 Posts 747 Reaction score 247 Jan 8, 2016 #4 Acheni fitna mbwana samatta ni mchagga
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,379 Jan 8, 2016 #5 Caf ndio wamekosea ila wamebadilisha mitandao yote ya spot ikiwemo BBC sport for English wamemtangaza vizuri tu kua anatoka tsnzania
Caf ndio wamekosea ila wamebadilisha mitandao yote ya spot ikiwemo BBC sport for English wamemtangaza vizuri tu kua anatoka tsnzania
akuhmm JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 583 Reaction score 225 Jan 8, 2016 #6 Na kuna wengine waliandika mbotswana. Ni shida
cnjona JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 1,027 Reaction score 239 Jan 8, 2016 #7 hiyo inamaana kwamba jina la Tanzania ndio mara ya kwanza kuonekana katika ramani ya soka kwenye matukio makubwa kama haya..kama mnavyojua mwanzo mgumu.
hiyo inamaana kwamba jina la Tanzania ndio mara ya kwanza kuonekana katika ramani ya soka kwenye matukio makubwa kama haya..kama mnavyojua mwanzo mgumu.
PNC JF-Expert Member Joined Feb 3, 2015 Posts 8,106 Reaction score 14,353 Jan 8, 2016 #8 eden kimario said: Caf ndio wamekosea ila wamebadilisha mitandao yote ya spot ikiwemo BBC sport for English wamemtangaza vizuri tu kua anatoka tsnzania Click to expand... Wewe mwenyewe umeshindwa itaja vizur nchi yake hao wazungu wataweza??
eden kimario said: Caf ndio wamekosea ila wamebadilisha mitandao yote ya spot ikiwemo BBC sport for English wamemtangaza vizuri tu kua anatoka tsnzania Click to expand... Wewe mwenyewe umeshindwa itaja vizur nchi yake hao wazungu wataweza??