Ajabu kubwa la wanawake

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Yani wanawake huwa hawaamini na haiwaingii akilini kuwa wanaume hushindwa kuwapata/kukubaliwa pale wanapotaka mzigo.

Utasikia" unashindwaje,yani me ningekuwa mwanaume hakuna demu angekataa"
 
Mzigo kupata cyo tatizo tatizo ni njia Hata mbako nayo ni njia sema haikubaliki dunia nzima
 
bupa zenyewe zipo sokoni...ugumu ndio unakuja hapo
 
So some of y'all do submit your coochie hunting reports(CHR) to ladies? No wonder.
 
ndio kwa 7bu si anawajua wanawake vizuri
wanachotaka
pia yy ni mwanammke anajijua anachotaka

bila kujua angekua mwanamme asingejua
 
Yani wanawake huwa hawaamini na haiwaingii akilini kuwa wanaume hushindwa kuwapata/kukubaliwa pale wanapotaka mzigo.
Utasikia" unashindwaje,yani me ningekuwa mwanaume hakuna demu angekataa"



Siku hizi ziko hadi za kupima kwenye mizani wewe tu Mimi huwa sibembelezagi ukikataa wewe mwingine atakubali
 
Nchi inazidi kupiga hatua 100 nyuma kuelekea viwandani!
Kwa akili zako Tanzania inaweza kua ya viwanda? Kwa strategies zipi zilizowekwa? Nenda katafute mpango wa taifa wa miaka 10+ uone kama kuna sehemu wameongelea kuhusu nchi kua ya viwanda.

HALAFU HILI SIO JUKWAA LA SIASA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…