Ajabu sana, Watu ambao walipaswa kushitakiwa kwa kutokutumia rasilimali za asili kuleta maendeleo leo hii wanasifiwa

Ajabu sana, Watu ambao walipaswa kushitakiwa kwa kutokutumia rasilimali za asili kuleta maendeleo leo hii wanasifiwa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Bahari imetanda mashariki yote.

Miti imekaa, imekuwa mingi mpaka sasa vijana wa TFS wanatumia SMG kuua Watanzania wenzao wanaokata miti ya kujengwa vijumba vyao.

Madini yamejaa Shinyanga, Lindi, Ruvuma na mikoa mingine.

Maziwa yako mengi.

Mito yenye mabonde mazuri ya kilimo.

Hifadhi za wanyama .

Leo hii kiongozi bila aibu anazindua choo cha msaada na makofi anapigiwa.

Leo hii Waturuki wanatoa msaada wa visima kwenye nchi yenye rasilimali maji chini billions of cubic.

Nilidhani wananchi wangekuwa na options 2 either wawashitaki kwa kushindwa kutumia rasilimali kuleta maendeleo au kukaa kimya tu kwakuwa wamejitungia sheria za kutokushikiwa.

Cha ajabu wanasifiwa kwa vitu vidogovidogo walivyofanya.
 
Nadhani wa kustakiwa na hao wananchi kwa kushindwa kutumia raslimali zao
 
Nimefanya vitu bingo sana mkuu, ila kupigia hayo majinga na malawi ya madaraka siwezi nimewaachia ninyi hiyo kazi..
Vitu gani

Maana kama ungefanya ya maana, basi hayo madini and all other resources zingekua juu

Nyani haoni kundule
 
Ccm inahusika vipi na wewe kutoona fursa tele zinazokuzunguka
Yan we umeona fursa unafanya yes wewe unavaa viatu lakin ukioa wengi karibia wote wako peku, chakula tu chakula nanga inapaa, Hii nchi kwa rasilimali ilizonazo ni yakulala na njaa ? Mkuu ujue me sio mwanasiasa ila mtu mjinga namjua, Tanzania mifumo mibovu na hii mifumo iko implemented na ccm, miaka 60 ya uhuru vyoo tunajengewa vya misaada, ila kila mwaka yananunuliwa magari ya serikali unnecessarily yanayokost million let's say 300 tena yanakuja wakutosha, we huoni kama ni mis allocation of funds ?
 
Ajabu sana. Watu ambao walipaswa kushitakiwa kwa kutokutumia rasilimali za asili kuleta maendeleo leo hii wanasifiwa
Mwl Nyerere aliwahi kusema kuwa kama taifa tulikuwa na maadui watatu:-
Ujinga, umaskini, maradhi

Zama hizi tunao 6 baada ya kuongezeka watatu wapya:-
Ujinga, umaskini, maradhi, Ufisadi, machawa, ccm
 
Vitu gani

Maana kama ungefanya ya maana, basi hayo madini and all other resources zingekua juu

Nyani haoni kundule
Kwan wewe kwako vitu vya maana ni vipi ? Hapa kuna uwezekano namna tunavyodefine hivyo vitu tunatofautiana. Umesoma ishue ya madingi tena ? Kule kwenye mikataba ya mtu kuchimba miaka 100, na kubeba mchanga kwenda kuchenjulia ulaya? Mkuu huku si ndio palileta mzozo kipindi cha magufuli mpaka wazungu wakaja, unajua namna wachimbaji wadogo wadogo wanavyonyanyaswa ? Unajua namna wanavyochimba madingi bila kuzingatia uharibifu wa mazingira, mkuu umeamua kabisa kujitoa akili unajifanya haya huyafahamu ?
 
Yan we umeona fursa unafanya yes wewe unavaa viatu lakin ukioa wengi karibia wote wako peku, chakula tu chakula nanga inapaa, Hii nchi kwa rasilimali ilizonazo ni yakulala na njaa ? Mkuu ujue me sio mwanasiasa ila mtu mjinga namjua, Tanzania mifumo mibovu na hii mifumo iko implemented na ccm, miaka 60 ya uhuru vyoo tunajengewa vya misaada, ila kila mwaka yananunuliwa magari ya serikali unnecessarily yanayokost million let's say 300 tena yanakuja wakutosha, we huoni kama ni mis allocation of funds ?
Maarifa yamejaa tele kwenye mitandao bure kwann usiyachote uone fursa uzigeuze pesa, mapori huyaoni hadi ulale njaa.
Hata wewe ukipata nafasi utakuwa mwizi kuzidi wao.
Kutwa kuchwa unajaza akili yako miziki ya kipumbavu then ushabiki wa mipira ukitoka Hapo unailaumu sisi wakati umezungukwa na fursa.
Adui wenu mkubwa ni fikra zenu na sio ccm badili unavyofikiri kubadili maisha yako.
Adui mkubwa wa mtu ni mawazo yake.
Toka tu Hapo Kibaha mapori yamejaa hata kulima tu kunde au mbaazi huwezi?
Umasikini ni matumizi mabaya ya akili.
 
Maarifa yamejaa tele kwenye mitandao bure kwann usiyachote uone fursa uzigeuze pesa, mapori huyaoni hadi ulale njaa.
Hata wewe ukipata nafasi utakuwa mwizi kuzidi wao.
Kutwa kuchwa unajaza akili yako miziki ya kipumbavu then ushabiki wa mipira ukitoka Hapo unailaumu sisi wakati umezungukwa na fursa.
Adui wenu mkubwa ni fikra zenu na sio ccm badili unavyofikiri kubadili maisha yako.
Adui mkubwa wa mtu ni mawazo yake.
Mkuu mimi kujitegemea na kufanya mambo yangu naweza. Nimechagua tu nisiwe mbinafsi, hata hivyo vitu unavyosema watu wafanye havina mazingira rafiki kwa watu wa kipato kidogo kuvifanya alafu unasema, kuna mapori mtu akalime sawa kama hawez kupata mbegu nzuri na mbolea unadhani yield yake itakuwaje, alafu watanzania wengi si wakulima mbona masikini ni wengi ? Umesema maarifa yamejaa mtandaoni yes ni kweli na ni jambo jema, wanaotumia simu za smart Tanzania research inasema wako M57, ila poverty line ya Tanzania iko 48% unadhani kwanini ? Me nakwambia the REGIME is corrupt and they have these culprit to back them up, wanahitaji ku- repent.
 
Mkuu mimi kujitegemea na kufanya mambo yangu naweza. Nimechagua tu nisiwe mbinafsi, hata hivyo vitu unavyosema watu wafanye havina mazingira rafiki kwa watu wa kipato kidogo kuvifanya alafu unasema, kuna mapori mtu akalime sawa kama hawez kupata mbegu nzuri na mbolea unadhani yield yake itakuwaje, alafu watanzania wengi si wakulima mbona masikini ni wengi ? Umesema maarifa yamejaa mtandaoni yes ni kweli na ni jambo jema, wanaotumia simu za smart Tanzania research inasema wako M57, ila poverty line ya Tanzania iko 48% unadhani kwanini ? Me nakwambia the REGIME is corrupt and they have these culprit to back them up, wanahitaji ku- repent.
Hawatumii vizuri mitandao zaidi ya ngono,mpira,udaku,umbea nk.
Pana mazao yana capital zero mfano michikichi,mihogo,kunde,karanga,mtama,nyonyo,viazi vitamu,mbaazi,miti ya miarobaini hii inastawi popote kwa msaada wa mvua kidogo.
Uhitaji kusubiria jembe anza hata kwa mikono jembe litafata baadae.
Mfumo ni zao la jamii kwa maana jamii mbovu iliyooza utoa viongozi wabovu so viongozi wetu ni zao letu sisi jamii.
Tujikite kwenye mapinduzi ya fikra tukiwa wengi ndipo yatakuja mapinduzi ya mfumo.
 
Hawatumii vizuri mitandao zaidi ya ngono,mpira,udaku,umbea nk.
Pana mazao yana capital zero mfano michikichi,mihogo,kunde,karanga,mtama,nyonyo,viazi vitamu,mbaazi,miti ya miarobaini hii inastawi popote kwa msaada wa mvua kidogo.
Uhitaji kusubiria jembe anza hata kwa mikono jembe litafata baadae.
Mfumo ni zao la jamii kwa maana jamii mbovu iliyooza utoa viongozi wabovu so viongozi wetu ni zao letu sisi jamii.
Tujikite kwenye mapinduzi ya fikra tukiwa wengi ndipo yatakuja mapinduzi ya mfumo.
Mkuu jamii ya kina Lukas kweli unaweza kuwa na ukombozi wa fikra, bro kazi ipo, mtu kilasiku anakuja kusema mama abdul anaupiga mwingi, ila mamake mzazi hasemi anaupigaje huyu mtu akili yake kuikomboa tunafanyaje ?... Ukombozi unatakiwa uanze kwenye level ya familia ila kwa bahati mbaya kwenye familia zetu za kibongo kuna mashindano Ambayo hayako rasmi baina ya wanafamilia. Familia nyingi za kibongo ni familia sababu baba na mama walisema huyu mdogo wako, huyu kaka yako na bla bla kibao lakin kimsingi hawa watu hawaish kama family. Family has to unite, lakin ni tofauti sana huku kwetu. Anyways anaona umekubali kwamba slot has to change na kakubali kwamba mfumo ni mibovu kutoka level za familia, sasa mtu kashakuwa kiongozi kwahiyo aendelee na kukosea na ujinga sababu tu ndio utamaduni alotoka nao kwenye familia ? Vipi kuhusu watu wanaoweza kuwashauri na waliotoa ushauri mzuri wanaonekana wabaya sababu tu ile ushauri hauwafevi wap?...Kwa mifumo iliopo ikatokea familia moja ina ujinga mwingi na wakapewa uwongozi na tunaona viongozi wengi wanaloop humo humo kwenye ndugu huoni kama guy ujinga wap utaenda generations kwa generations?..Yan baba alikuwa raisi na mtoto anakuwa raisi, baba alikuwa mbunge na mtoto anakuwa mbunge na mama nae anakuwa mbunge hapo hapo, mkuu mawazo mbadala tutayatoa wapi ? Huoni kama itakuwa dizasta na ndio kinachoendelea kama umeangalia kwa ndaaaani.
 
Mkuu jamii ya kina Lukas kweli unaweza kuwa na ukombozi wa fikra, bro kazi ipo, mtu kilasiku anakuja kusema mama abdul anaupiga mwingi, ila mamake mzazi hasemi anaupigaje huyu mtu akili yake kuikomboa tunafanyaje ?... Ukombozi unatakiwa uanze kwenye level ya familia ila kwa bahati mbaya kwenye familia zetu za kibongo kuna mashindano Ambayo hayako rasmi baina ya wanafamilia. Familia nyingi za kibongo ni familia sababu baba na mama walisema huyu mdogo wako, huyu kaka yako na bla bla kibao lakin kimsingi hawa watu hawaish kama family. Family has to unite, lakin ni tofauti sana huku kwetu. Anyways anaona umekubali kwamba slot has to change na kakubali kwamba mfumo ni mibovu kutoka level za familia, sasa mtu kashakuwa kiongozi kwahiyo aendelee na kukosea na ujinga sababu tu ndio utamaduni alotoka nao kwenye familia ? Vipi kuhusu watu wanaoweza kuwashauri na waliotoa ushauri mzuri wanaonekana wabaya sababu tu ile ushauri hauwafevi wap?...Kwa mifumo iliopo ikatokea familia moja ina ujinga mwingi na wakapewa uwongozi na tunaona viongozi wengi wanaloop humo humo kwenye ndugu huoni kama guy ujinga wap utaenda generations kwa generations?..Yan baba alikuwa raisi na mtoto anakuwa raisi, baba alikuwa mbunge na mtoto anakuwa mbunge na mama nae anakuwa mbunge hapo hapo, mkuu mawazo mbadala tutayatoa wapi ? Huoni kama itakuwa dizasta na ndio kinachoendelea kama umeangalia kwa ndaaaani.
Mifano ipo Mungu hata toka nchi zilizobadili vyama je wametuzidi nini au wanaprogress ipi zaidi ya gedere kuvukuza tumbili tumbili anafukuza nyani kwenye shamba Hilo Hilo.
 
Bahari imetanda mashariki yote.

Miti imekaa, imekuwa mingi mpaka sasa vijana wa TFS wanatumia SMG kuua Watanzania wenzao wanaokata miti ya kujengwa vijumba vyao.

Madini yamejaa Shinyanga, Lindi, Ruvuma na mikoa mingine.

Maziwa yako mengi.

Mito yenye mabonde mazuri ya kilimo.

Hifadhi za wanyama .

Leo hii kiongozi bila aibu anazindua choo cha msaada na makofi anapigiwa.

Leo hii Waturuki wanatoa msaada wa visima kwenye nchi yenye rasilimali maji chini billions of cubic.

Nilidhani wananchi wangekuwa na options 2 either wawashitaki kwa kushindwa kutumia rasilimali kuleta maendeleo au kukaa kimya tu kwakuwa wamejitungia sheria za kutokushikiwa.

Cha ajabu wanasifiwa kwa vitu vidogovidogo walivyofanya.

"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Mifano ipo Mungu hata toka nchi zilizobadili vyama je wametuzidi nini au wanaprogress ipi zaidi ya gedere kuvukuza tumbili tumbili anafukuza nyani kwenye shamba Hilo Hilo.
Me hata sina tatizo na vyama, mimi nataka mfumo ambao unaweza kuwawajibisha watu likitokea jambo, saivi wamefanya shamba la bibi...hakuna mtu wa kumwajibisha mwenzake.. wote wanateteana sababu wote ni wezi
 
Back
Top Bottom