bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Yes twende na Caamil/Hersi Said huyu jamaa typical ni MwanaYanga kindakindaki uzuri wa jamaa hana longolongo akisema amesema inaonekana mwamba hana tamaa ya fedha kama wale wengine jamaa ana malengo ya mbali sana na Yanga hii.
Binafsi naona hata Urais haumtoshi wanayanga tulitakiwa tumpe zawad kubwa zaidi Injinia Sio mchezo kwa akili za juu juu unaweza dhani jamaa katumia akili ndogo kuitoa Yanga ilipo mpaka sasa ila wenye kuufahamu mpira jamaa katumia energy, knowledge, skills, kujitoa, Ibada, fedha, ..nk mpaka kuifikisha Yanga hapa ilipo.
Watu wanaimani na Yanga sasa, makampuni wana imani kubwa sana na Yanga sasa, kila MTU anajua akiweka fedha zake pale Yanga zitakua salama chini ya Mikono ya Hersi Said Injinia.
Huyu jamaa niwa kipekee sana anaipenda Yanga naweza sema ni Yanga Lialia.
Angalia pale Man utd Since ameondoka Ferguson pale ni tia maji tia maji tu ila kwa Kipindi kifupi since Gsm Katia Mikono Yanga chini ya Kijana Injinia Hersi Said tunachukua Vikombe Vitatu tena kutoka kwa timu iliyokua imejipanga kwa fitna zote nje na ndani za uwanja Simba
Tukiacha Ushabiki na chuki cha Kibongo Injinia ni Multi Talented leader Mungu azidi kumlinda na kumjalia hekima zaidi
Kwa mapenzi yake kwa Yanga nachelea kusema ndiye aliyemshawishi GSm kuwekeza pale Yanga.
Wanayanga tungeendelea na kampeni yetu ile ya Bakuli akii leo tungekua tunacheza play off na Prison kupambania kurudi ligi kuu ligi imekua ngumu timu kila siku zinajipanga, Mpira wa kisasa unahitaji Pesa
Kuonyesha Mzee Wetu Msolla anaimani na Kijana wake Injinia Hersi Said kampa baraka zote na kutochukua fomu ya Urais.
Leo jezi za Yanga zinavaliwa kila Kona watu wanaona fahari, Sio mkubwa wala Mdogo,sio baba wala mama leo wanavaa jezi maridadi ya Yanga Ambayo HERSI SAID KAIVUJIA JASHO LA DAMU kapita kwenye milima na Mabonde.
Ndio maana Upande wa Pili Simba wanakuja na Propaganda Uchwara kwa Hersi Said wanajua Urais wa Hersi Said na timu yake ya uongozi Yanga itaenda level za mbali sana I predict siku moja Pitso Mosimane atasimama kwenye benchi la Yanga kama Kocha muda ni Rafiki mzuri.
Simba nyie tulieni tu Hersi Said ndio Rais wa Yanga hata akitaka kuongoza milele tutampa timu, tumejifunza baada ya figisu kwa Manji.
Ndio Huyo Huyo Injinia Hersi Said.
Binafsi naona hata Urais haumtoshi wanayanga tulitakiwa tumpe zawad kubwa zaidi Injinia Sio mchezo kwa akili za juu juu unaweza dhani jamaa katumia akili ndogo kuitoa Yanga ilipo mpaka sasa ila wenye kuufahamu mpira jamaa katumia energy, knowledge, skills, kujitoa, Ibada, fedha, ..nk mpaka kuifikisha Yanga hapa ilipo.
Watu wanaimani na Yanga sasa, makampuni wana imani kubwa sana na Yanga sasa, kila MTU anajua akiweka fedha zake pale Yanga zitakua salama chini ya Mikono ya Hersi Said Injinia.
Huyu jamaa niwa kipekee sana anaipenda Yanga naweza sema ni Yanga Lialia.
Angalia pale Man utd Since ameondoka Ferguson pale ni tia maji tia maji tu ila kwa Kipindi kifupi since Gsm Katia Mikono Yanga chini ya Kijana Injinia Hersi Said tunachukua Vikombe Vitatu tena kutoka kwa timu iliyokua imejipanga kwa fitna zote nje na ndani za uwanja Simba
Tukiacha Ushabiki na chuki cha Kibongo Injinia ni Multi Talented leader Mungu azidi kumlinda na kumjalia hekima zaidi
Kwa mapenzi yake kwa Yanga nachelea kusema ndiye aliyemshawishi GSm kuwekeza pale Yanga.
Wanayanga tungeendelea na kampeni yetu ile ya Bakuli akii leo tungekua tunacheza play off na Prison kupambania kurudi ligi kuu ligi imekua ngumu timu kila siku zinajipanga, Mpira wa kisasa unahitaji Pesa
Kuonyesha Mzee Wetu Msolla anaimani na Kijana wake Injinia Hersi Said kampa baraka zote na kutochukua fomu ya Urais.
Leo jezi za Yanga zinavaliwa kila Kona watu wanaona fahari, Sio mkubwa wala Mdogo,sio baba wala mama leo wanavaa jezi maridadi ya Yanga Ambayo HERSI SAID KAIVUJIA JASHO LA DAMU kapita kwenye milima na Mabonde.
Ndio maana Upande wa Pili Simba wanakuja na Propaganda Uchwara kwa Hersi Said wanajua Urais wa Hersi Said na timu yake ya uongozi Yanga itaenda level za mbali sana I predict siku moja Pitso Mosimane atasimama kwenye benchi la Yanga kama Kocha muda ni Rafiki mzuri.
Simba nyie tulieni tu Hersi Said ndio Rais wa Yanga hata akitaka kuongoza milele tutampa timu, tumejifunza baada ya figisu kwa Manji.
Ndio Huyo Huyo Injinia Hersi Said.