henry vascos
Member
- Jan 2, 2013
- 70
- 51
Basi la kampuni ya Al Saedy inasemekana limetumbukia mlima Ndololo likitokea mahenge leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafta uhakika ndo ulete habarbasi la kampuni ya al saedy inasemekana limetumbukia mlima ndololo likitokea mahenge leo
Fuatilia kwa ukaribu habari hiyo ulete mrejeshobasi la kampuni ya al saedy inasemekana limetumbukia mlima ndololo likitokea mahenge leo
Tulia uteletee taarifa kamili mkuu.Hilo eneo ni baya sana,kama ni kweli watu kupona itakuwa muujiza.Nilishapita huko mara mbili au tatu hivi,mm,panaogopesha sana.basi la kampuni ya al saedy inasemekana limetumbukia mlima ndololo likitokea mahenge leo
Kama ushawahi pita kitonga na huo mlima ndololo ndivyo ulivyo,barabara imepita pembezoni mwa mlima toka chini hadi juu,ni sehemu hatari sanalimetumbukia???....kwani huo mlima ni mto?
Tobaaaaaabasi la kampuni ya al saedy inasemekana limetumbukia mlima ndololo likitokea mahenge leo
huu uandishi kwa sisi wa madarasa ya ngumbaru, tutasubiri sana kuelewa kinachozungumziwa.eeh sjui kama atapona mtu maana ule mlima duuh
mi first tym nlipandisha nmefunga macho second time nlipandisha kwa mguu
uliza kama hujaelewahuu uandishi kwa sisi wa madarasa ya ngumbaru, tutasubiri sana kuelewa kinachozungumziwa.