Ajali Kazini

Kwani huyo bwana aliomba mmtokee? ndo maana ajali haina kinga laiti angalijua kuwa nyuzi za sarawili hazipo imara asingabong'oa kwa mtindo huo
 
hehehe hapo ingekuwa ni yule anayevalishwa chupi za mke wake sijui ingekuwaje.
 
hii ajali babkubwa! mpaka jamaa anachungulia!?
 
ina maana na wao wanavaaga for long time kama wakwetu maana kuna jamaa ndio pamba zake
swali kwa wana jamii je ungekuwa ni weye unge do whatzzzz
conquest
 
ina maana wageni waalikwa wapo kwa nyuma yake whats happen to them pia nikiangalia vema naona alikuwa anajiandaa kubeba cofin
oohh kumbe ni used suali
Conquest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…