Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Hizi ni miongoni mwa ajali kubwa za meli za mafuta zilizowahi kutokea duniani na kuleta uchafuzi mkubwa wa mazingira ya bahari na athari kwa viumbe hai na watu waliozunguka maeneo hayo.
1.Torrey Canyon
SS Torrey Canyon ilikuwa meli kubwa ya mafuta saizi ya LR2 Suezmax na uwezo wa mizigo ya tani 120,000 za
mafuta ghafi. Ilivunjika meli kutoka pwani ya magharibi ya Cornwall, England, tarehe 18 Machi 1967, na kusababisha janga la mazingira. Wakati huo meli hii ilikuwa chombo kikubwa zaidi kilichopotea.
Ilikuwa na sifa hizi
Name: SS Torrey Canyon
Owner: Barracuda Tanker Corporation
Operator: British Petroleum
Port of registry: Liberia
Builder: Newport News Shipbuilding & Drydock Co
Yard number: 532
Laid down: 1959
Launched: 28 October 1958
Identification: UK official number : 536535
IMO number : 5365352
Fate: Sank after running aground on 18 March 1967
General characteristics
Type: Supertanker
Tonnage: 61,263 GRT
Length: 974.4 ft (297.0 m)
Beam: 125.4 ft (38.2 m)
Draught: 68.7 ft (20.9 m)
Propulsion: Single shaft; steam turbine
Speed: 17 knots (31 km/h; 20 mph)
Capacity: 120,000 tons of crude oil
Meli hii ilitengenezwa ikiwa na uwezo wa kubeba tani 60,000/= lakini baadae ikaongezewa uwezo huko Japan na kufikisha tani 120,000.
Meli hii ilizama katika pwani ya Uingereza baada ya kugonga Pollard rocks kati ya Cornish na visiwa vya Scilly tarehe ya 18 na meli ikaanza kuvunjika baada ya siku chache.
Serikali ya Uingereza ilichukua hatua kwa kutumia majeshi ya anga kwa kulipua meli kwa kutumia mabomu ili kupunguza kuenea kwa mafuta.
Royal Air Force(RAF) na Fleet Air Arm (FAA) walitumia mabomu 161, rocketi 16 na mafuta ya taa lita 44500 kulipua meli lakini mawimbi yalikuwa yakiupeleka kando mpaka meli yote ilipozama.
Kosa na chanzo cha ajali ya meli hii iliyosajiliwa nchini Liberia ilikuwa ni kosa la nahodha kupita njia nyingine na kuokoa muda ambapo alipita kwenye channel au mkondo ambao mshika usukani wa meli (helmsman) alikuwa amechelewa kubadili kutoka autopilot na wakati wanaingia eneo la mlango wa bahari.
Hii ajali ilileta athari kubwa sana na kupelekea aina nyingi za viumbe wa bahari kufa na watu wa maeneo ya karibu kuathirika kutokana na uchafuzi huu.
1.Torrey Canyon
SS Torrey Canyon ilikuwa meli kubwa ya mafuta saizi ya LR2 Suezmax na uwezo wa mizigo ya tani 120,000 za
mafuta ghafi. Ilivunjika meli kutoka pwani ya magharibi ya Cornwall, England, tarehe 18 Machi 1967, na kusababisha janga la mazingira. Wakati huo meli hii ilikuwa chombo kikubwa zaidi kilichopotea.
Ilikuwa na sifa hizi
Name: SS Torrey Canyon
Owner: Barracuda Tanker Corporation
Operator: British Petroleum
Port of registry: Liberia
Builder: Newport News Shipbuilding & Drydock Co
Yard number: 532
Laid down: 1959
Launched: 28 October 1958
Identification: UK official number : 536535
IMO number : 5365352
Fate: Sank after running aground on 18 March 1967
General characteristics
Type: Supertanker
Tonnage: 61,263 GRT
Length: 974.4 ft (297.0 m)
Beam: 125.4 ft (38.2 m)
Draught: 68.7 ft (20.9 m)
Propulsion: Single shaft; steam turbine
Speed: 17 knots (31 km/h; 20 mph)
Capacity: 120,000 tons of crude oil
Meli hii ilitengenezwa ikiwa na uwezo wa kubeba tani 60,000/= lakini baadae ikaongezewa uwezo huko Japan na kufikisha tani 120,000.
Meli hii ilizama katika pwani ya Uingereza baada ya kugonga Pollard rocks kati ya Cornish na visiwa vya Scilly tarehe ya 18 na meli ikaanza kuvunjika baada ya siku chache.
Serikali ya Uingereza ilichukua hatua kwa kutumia majeshi ya anga kwa kulipua meli kwa kutumia mabomu ili kupunguza kuenea kwa mafuta.
Royal Air Force(RAF) na Fleet Air Arm (FAA) walitumia mabomu 161, rocketi 16 na mafuta ya taa lita 44500 kulipua meli lakini mawimbi yalikuwa yakiupeleka kando mpaka meli yote ilipozama.
Kosa na chanzo cha ajali ya meli hii iliyosajiliwa nchini Liberia ilikuwa ni kosa la nahodha kupita njia nyingine na kuokoa muda ambapo alipita kwenye channel au mkondo ambao mshika usukani wa meli (helmsman) alikuwa amechelewa kubadili kutoka autopilot na wakati wanaingia eneo la mlango wa bahari.
Hii ajali ilileta athari kubwa sana na kupelekea aina nyingi za viumbe wa bahari kufa na watu wa maeneo ya karibu kuathirika kutokana na uchafuzi huu.