NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
Hebu mtujuze mliopo karibu na barabara ya mwendo kasi kinondoni,nasikia mabasi yakiendelea na kutestiwa,gari ndogo imegongwa katika eneo hilo, na kusababisha vifo. ..
Tafadhari mwenye taarifa kamili..
Tafadhari mwenye taarifa kamili..