Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
Wakuu nipo kwny hali mbaya mno yan ndo nakuja kujua juz mwisho wa kupeleka application form ni 20 june hlf shule walim hawapo(shule imefungwa) nimeongea na academic master kanizingua sasa cjui itakuaje.Lkn niliapply dit toka tupo shule na nimefaulu hv(phy-b+,math-b+,engl-b+) lkn ndo cna uhakika kama ntachaguliwa ndo mana nimeamua nianze kuapplyki-private ili nisipochaguliwa na serikali iwe tayar nishapeleka maombi. Sasa hamna alternative way ya kuapply bila ya r.slip maana mpaka niipate itakua muda wa kuapply ushaisha.