Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
kweli ningelijua mapema yasingeli nikutammmmmmh?pole ndugu na gvt yetu nahisi kutoa selection ni mpaka deadline za vyuo ziishe
Wakuu nipo kwny hali mbaya mno yan ndo nakuja kujua juz mwisho wa kupeleka application form ni 20 june hlf shule walim hawapo(shule imefungwa) nimeongea na academic master kanizingua sasa cjui itakuaje.Lkn niliapply dit toka tupo shule na nimefaulu hv(phy-b+,math-b+,engl-b+) lkn ndo cna uhakika kama ntachaguliwa ndo mana nimeamua nianze kuapplyki-private ili nisipochaguliwa na serikali iwe tayar nishapeleka maombi. Sasa hamna alternative way ya kuapply bila ya r.slip maana mpaka niipate itakua muda wa kuapply ushaisha.
huku una apply online, vp sasakama ulidownload matokeo yako yaprint halafu weka alama kwenye jina lako kisha nenda mahakamani ukaape kwamba ndio matokeo yako sahihi watayapiga muhuri utayapeleka unapotaka. nilifanya ivyo kipindi icho nataka mkopo loan board na yalikubalika sasa sijui huko, jaribu ivyo
kvp mkuuDah yan umefanya mistake..Ila vp ukiwa2mia namba yako ya mtihan kama universty itakuwaje?
hayo matokeo yenye mhuri wa mahakama ndo utayatumia kama result slip hata kama unaapply onlinehuku una apply online, vp sasa
Zitto,
Kama hayo yanatoka rohoni kabisa, basi hapo kuna tatizo. Siamini kama ktk siasa kuna mwenye umaarufu kiasi cha kuwa huru kuzunguka majimbo kiasi hicho.
At your age, I can see the bad station where you are likely to be in the next10 years. [/QUOTe ...mlainishe tu akupe.lasivyo hatakupa...muombe kwa kumsihi..gia yako
sasa fanya kama huyu jamaa...hili tatizo dogo sana..mi pia loan board nilifanyaga hivikama ulidownload matokeo yako yaprint halafu weka alama kwenye jina lako kisha nenda mahakamani ukaape kwamba ndio matokeo yako sahihi watayapiga muhuri utayapeleka unapotaka. nilifanya ivyo kipindi icho nataka mkopo loan board na yalikubalika sasa sijui huko, jaribu ivyo
Zitto,
Kama hayo
...mlainishe tu akupe.lasivyo hatakupa...muombe kwa kumsihi..gia yako
wakuu mkiamka mnisaidie hapa, nimepangwa advance kudadadeki nataka nifanye chapchap kuapply dit
wakuu mkiamka mnisaidie
hapa, nimepangwa advance kudadadeki nataka nifanye chapchap kuapply
dit