Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kwani Yanga SC Mabingwa na Medali za Mbao za Kariakoo Shimoni wana Mechi yoyote ile tena ya Kimataifa hivi Karibuni wanayotakiwa Kuishinda kwa Udi na Uvumba?Watu watano wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika eneo la Iyovi baada ya gari aina ya Costa iliyokuwa ikitoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam kujaribu kulipita Lori lililokuwa limeharibika njiani na kugongana na Lori jingine lililokuwa likitokea Mikumi.
View attachment 2647010
Ajali hiyo imetokea hii leo Juni 5, 2023, katika eneo la Iyovi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.
Chanzo: EATV
Iyovyi ni pana sana, which area specificallyWatu watano wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika eneo la Iyovi baada ya gari aina ya Costa iliyokuwa ikitoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam kujaribu kulipita Lori lililokuwa limeharibika njiani na kugongana na Lori jingine lililokuwa likitokea Mikumi.
View attachment 2647010
Ajali hiyo imetokea hii leo Juni 5, 2023, katika eneo la Iyovi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.
Chanzo: EATV
Hadi huku vichaa mpoKwani Yanga SC Mabingwa na Medali za Mbao za Kariakoo Shimoni wana Mechi yoyote ile tena ya Kimataifa hivi Karibuni wanayotakiwa Kuishinda kwa Udi na Uvumba?
Wewe Mwenzetu huo Ukichaa wako ulipona lini?Hadi huku vichaa mpo
Pole mkuuR.i.P Classmates....😥