Ajali za usafiri wa Majini ni sawa na za barabarani tz?.

Ajali za usafiri wa Majini ni sawa na za barabarani tz?.

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
974
Reaction score
245
Jamani Baada ya ajali ya Meli iliyoua ndugu zetu, jamaa zetu na marafiki zetu zanzibar nimekuwa nikifikiria sana kuhusu ajali, moja ya fikra zilizonijia ni kuhusu maisha ya watanzania kupotea ktk ajali za barabara na majini, miaka michache iliyopita Meli ya MV NYAMAGENI iliua watu mwanza na mmiliki wake alijaribu kufuatiliwa kwa sababu alikuwa ameshaambia aifanyie matengenezo na hakufanya hivyo mpaka inakuja kuua watu, sijui iliishaje maana sisi tz hatuna utamaduni wa kuwashitaki wenye pesa. Ajali za barabarani hata usiseme anajua Mungu tu.. Nimekuwa nikijiuliza pia, hivi hawa watu wanaopata ajali, kufa au kupata vilema vya maisha wamekuwa wakilipwa fidia kiasi gani??
 
Jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.
 
Jamani Baada ya ajali ya Meli iliyoua ndugu zetu, jamaa zetu na marafiki zetu zanzibar nimekuwa nikifikiria sana kuhusu ajali, moja ya fikra zilizonijia ni kuhusu maisha ya watanzania kupotea ktk ajali za barabara na majini, miaka michache iliyopita Meli ya MV NYAMAGENI iliua watu mwanza na mmiliki wake alijaribu kufuatiliwa kwa sababu alikuwa ameshaambia aifanyie matengenezo na hakufanya hivyo mpaka inakuja kuua watu, sijui iliishaje maana sisi tz hatuna utamaduni wa kuwashitaki wenye pesa. Ajali za barabarani hata usiseme anajua Mungu tu.. Nimekuwa nikijiuliza pia, hivi hawa watu wanaopata ajali, kufa au kupata vilema vya maisha wamekuwa wakilipwa fidia kiasi gani??
<br />
<br />
Inaonekana wewe ni mgeni na kama ni mwenyeji basi ww sio great thinker. Maana ya kuweka majukwaa ni nini? Kuwa makini, this is home of GREAT THINKERS.
Usikurupuke, THINK BEFORE ACTION.
 
Back
Top Bottom