K kunyala Member Joined Apr 11, 2013 Posts 76 Reaction score 18 May 1, 2013 #1 Tupo kwenye mchakato wa soko la pamoja Afrika mashariki.je watanzania tuko tayari kwa ushindani katika ajira na wenzetu wa kenya.uganda.burundi na rwanda?
Tupo kwenye mchakato wa soko la pamoja Afrika mashariki.je watanzania tuko tayari kwa ushindani katika ajira na wenzetu wa kenya.uganda.burundi na rwanda?
Z ZeMarcopolo Platinum Member Joined May 11, 2008 Posts 14,040 Reaction score 7,303 May 1, 2013 #2 Soma vizuri kichwa chako cha habari...