Kuna uwezekano ameshachelewa. Labda kwa vilabu vya hapa hapa Afrika.Ndo ahame basi so mkataba Unaisha mwisho wa msimu
Ushabiki wa kijinga namna hii ndiyo utatufanya tuendelee kuwa kichwa cha mwendawazimu daima. Kwani Msuva anacheza Mtibwa?Unatokaje kwenda cheza soka la nje ukiwa yanga?
Ukiangalia kipaji alichonacho mchezaji huyu naona kabisa anachelewa. Au hana malengo ya kucheza Ulaya? Maana muda haumsubiri atakuwa kama Ngassa.
Mlio karibu naye mwamsheni.
Vipi Kapombe na King wa Uswazi Haruna Moshi Boban walikuwa wachezaji wa Yanga?Unatokaje kwenda cheza soka la nje ukiwa yanga?
Unatokaje kwenda cheza soka la nje ukiwa yanga?
Nyie ndo mnaoitwa shabiki maandazi. Hapo suala la yanga linaingiaje??Unatokaje kwenda cheza soka la nje ukiwa yanga?
Kwa kipaji gani mkuu. Au kwa like goli la juzi. Ukiwa na kipaji utaonekana tu kama kina aamataUkiangalia kipaji alichonacho mchezaji huyu naona kabisa anachelewa. Au hana malengo ya kucheza Ulaya? Maana muda haumsubiri atakuwa kama Ngassa.
Mlio karibu naye mwamsheni.
Nonda Shabani alitokea wapi??? au ulikuwa ujazaliwa...Unatokaje kwenda cheza soka la nje ukiwa yanga?
Wazungu wanaangalia kipaji alafu wanakujenga...Ajibu hana kipaji???Alitakiwa aonekane na timu za maana kipindi kile Yanga ilivyokuwa inajiita ya kimataifa,hakudeliver chochote ndio maana hakuitwa na timu yoyote ile hata japo kwa majaribio,Msuva alionekana na matokeo yake wote wapenda soka tunayajua,huyu ni mchezaji wa kawaida san na ndio maana huwezi mwona anafanya yaliyo na maana kwenye mechi za maana