Ajibu hakukataa kwenda TP Mazembe

Ajibu hakukataa kwenda TP Mazembe

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Wengi walidhani kwamba Ajibu alikataa kwenda TP Mazembe, kauli yake aliyotoa kwamba hamna maslahi Congo ilikuwa kutuliza mashabiki tu, Maneja wake akiongea leo amesema kwamba Ajibu alisaini kwa siri mkataba na Simba na offer ya TP Mazembe ilikuja baadaye.
 
Ajibu ana akili za umaarufu wa apa Nyumbani.Hawezi kuwa wa kimataifa ata kama akitoka nje itachukua muda mfupi kurudi tena Tanzania kumalizia mpira wake. Ajibu ana amini anajua mpira, sasa inatakiwa aelewe yeye bado hana anachokijua katika soka.

Wachezaji wetu waeleweshwe sisi Tanzania bado hatujaanza kucheza soka, wapambane Watoke waende nje kucheza soka sisi tunacheza kitu kinachotaka kufanana na soka ila soka lenyewe bado.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi walidhani kwamba Ajibu alikataa kwenda TP Mazembe ,kauli yake aliyotoa kwamba hamna maslahi Congo ilikuwa kutuliza mashabiki tu,Maneja wake akiongea leo amesema kwamba Ajibu alisaini kwa siri mkataba na Simba na offer ya Tp Mazembe ilikuja baadaye .
Maana yake alisaini kisiri huku akiwa na mkataba Yanga.
 
Hapa ndipo utopolo watakopoonyesha UUTOPOLO wao sasa kama yeye ni ataishia hapa bongo yeye binafsi ameamua kuwa hivyo na malengo hayafanani sio kila mchezaji anataka kucheza nje wengine wanaridhika na umaarufu wa ndani ya nchi Kama Ajibu na Ngassa.

Ni bora ukae benchi Simba SC kuliko kuwa first 11 UTOPOLONI.
 
Wengi walidhani kwamba Ajibu alikataa kwenda TP Mazembe ,kauli yake aliyotoa kwamba hamna maslahi Congo ilikuwa kutuliza mashabiki tu,Maneja wake akiongea leo amesema kwamba Ajibu alisaini kwa siri mkataba na Simba na offer ya Tp Mazembe ilikuja baadaye .
Kwanini asaini kwa siri mkataba na timu nyingine while alikua na mkataba na timu yake ya awali,uoni kama ajibu na baadhi ya wachezaji wa kitanzania uwezo wao wa kutambua mambo ni finyu!?
 
Maana yake alisaini kisiri huku akiwa na mkataba Yanga.
Kwanini asaini kwa siri mkataba na timu nyingine while alikua na mkataba na timu yake ya awali,uoni
Sio kosa na ni halali kabisa, provided that mkataba wake na timu anayoimalizia upo chini ya miezi sita. Tena alikuwa muungwana kukaa kimya, maana angeweza kusaini na kuufanya public kama akina Silinde.
 
Hapa ndipo utopolo watakopoonyesha UUTOPOLO wao sasa kama yeye ni ataishia hapa bongo yeye binafsi ameamua kuwa hivyo na malengo hayafanani sio kila mchezaji anataka kucheza nje wengine wanaridhika na umaarufu wa ndani ya nchi Kama Ajibu na Ngassa.
Ni bora ukae benchi Simba SC kuliko kuwa first 11 UTOPOLONI.
Miez 9 toka tarehe 8/3/2020 nadhan akili ndo itakukaa sawa maana kilichomo tumbon kinaleta shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli mimi binafsi sijaona umuhimu wa kubaki na Ajib Simba hata kama alisaini mkataba na Simba kwa siri, Lakini kwa kumsaidia tu wangemtoa yeye na Ndemla hata kwa mkopo! So kama bado TP Mazembe wana muhitaji Simba wamruhusu kwa haraka sana!..
 
Njaa, mbaya sana na kushikwa masikio na mameneja uchwara .

Ajibu angesubiri mkataba wake uishe aangalie ofa zitakazokuja mezani kwake kulingana na jasho na damu alilolitoa kuudhihirishia umma kuwa anajua soka.

Kafanya kazi kubwa, akiwa Yanga kila mdau wa soka akajiridhisha kijana amepambana ndo maana wale wenye mawazo ya soka la kizamani la "KUKOMOANA"

Walipoona ili uidhoofishe Yanga msajili Ajibu ili wakose zile assist zake na faulo za hatari, ukichanganya na njaa ya meneja na mchezaji unategemea nn?

Nakumbuka maneno ya rais wa muda wa Simba "TRY AGAIN" huyu ni kiongozi shupavu, aliweka wazi wakati Yondani anasuasua kusajili Yanga, alisema "HATUUSAIDII MPIRA WETU" tukimsajili Yondani ni kuididimiza Yanga.

Angalia Yanga wamemsajili Ajibu na Simba tumemsajili Niyonzima ! Kipi kilichopatikana ? Kwa maendeleo ya mpira wetu zaidi ya KUKOMOANA na kujirudisha nyuma.

Ajibu , kama angevumilia Njaa, Mkataba wake ungeisha na kwenda Tp Mazembe ambako angeweza kukutana na changamoto mpya na watu tofauti wenye jicho halisi la kipaji cha soka, huenda angefanikiwa sana.

Kwa hapa Bongo, sioni Ajibu akichanua kiwango naona kimefika Peak akiwa Yanga, ambako alikuwa anacheza kila siku. Simba kiwango kinarudi chini kwa kukosa nafasi.

Ajibu jitafakari Omba kwenda kucheza kwa mkopo kwenye timu kama, Mtibwa, Kagera, Namungo au Azam. Pandisha kiwango SONGA MBELE.
 
Wanasema anapendwa na Mo,ila Ajibu simba hajaongeza chochote hata asingesajiliwa poa tu
Hivi Ajib kusainiwa Simba ilikua kwa mahitaji ya nani?



"Not everything is for everybody"
 
Ni vizuri Yanga na simba wasiuziane wachezaji
Njaa, mbaya sana na kushikwa masikio na mameneja uchwara .

Ajibu angesubiri mkataba wake uishe aangalie ofa zitakazokuja mezani kwake kulingana na jasho na damu alilolitoa kuudhihirishia umma kuwa anajua soka.

Kafanya kazi kubwa, akiwa Yanga kila mdau wa soka akajiridhisha kijana amepambana ndo maana wale wenye mawazo ya soka la kizamani la "KUKOMOANA"

Walipoona ili uidhoofishe Yanga msajili Ajibu ili wakose zile assist zake na faulo za hatari, ukichanganya na njaa ya meneja na mchezaji unategemea nn?

Nakumbuka maneno ya rais wa muda wa Simba "TRY AGAIN" huyu ni kiongozi shupavu, aliweka wazi wakati Yondani anasuasua kusajili Yanga, alisema "HATUUSAIDII MPIRA WETU" tukimsajili Yondani ni kuididimiza Yanga.

Angalia Yanga wamemsajili Ajibu na Simba tumemsajili Niyonzima ! Kipi kilichopatikana ? Kwa maendeleo ya mpira wetu zaidi ya KUKOMOANA na kujirudisha nyuma.

Ajibu , kama angevumilia Njaa, Mkataba wake ungeisha na kwenda Tp Mazembe ambako angeweza kukutana na changamoto mpya na watu tofauti wenye jicho halisi la kipaji cha soka, huenda angefanikiwa sana.

Kwa hapa Bongo, sioni Ajibu akichanua kiwango naona kimefika Peak akiwa Yanga, ambako alikuwa anacheza kila siku. Simba kiwango kinarudi chini kwa kukosa nafasi.

Ajibu jitafakari Omba kwenda kucheza kwa mkopo kwenye timu kama, Mtibwa, Kagera, Namungo au Azam. Pandisha kiwango SONGA MBELE.
 
Nimesikiliza vipindi vingi vya michezo jana redioni meneja anasema wana offer nyingi zipo mezani zinamsubiri ajibu msimu ukiisha, kwani simba ana mkataba wa mda gani
Njaa, mbaya sana na kushikwa masikio na mameneja uchwara .

Ajibu angesubiri mkataba wake uishe aangalie ofa zitakazokuja mezani kwake kulingana na jasho na damu alilolitoa kuudhihirishia umma kuwa anajua soka.

Kafanya kazi kubwa, akiwa Yanga kila mdau wa soka akajiridhisha kijana amepambana ndo maana wale wenye mawazo ya soka la kizamani la "KUKOMOANA"

Walipoona ili uidhoofishe Yanga msajili Ajibu ili wakose zile assist zake na faulo za hatari, ukichanganya na njaa ya meneja na mchezaji unategemea nn?

Nakumbuka maneno ya rais wa muda wa Simba "TRY AGAIN" huyu ni kiongozi shupavu, aliweka wazi wakati Yondani anasuasua kusajili Yanga, alisema "HATUUSAIDII MPIRA WETU" tukimsajili Yondani ni kuididimiza Yanga.

Angalia Yanga wamemsajili Ajibu na Simba tumemsajili Niyonzima ! Kipi kilichopatikana ? Kwa maendeleo ya mpira wetu zaidi ya KUKOMOANA na kujirudisha nyuma.

Ajibu , kama angevumilia Njaa, Mkataba wake ungeisha na kwenda Tp Mazembe ambako angeweza kukutana na changamoto mpya na watu tofauti wenye jicho halisi la kipaji cha soka, huenda angefanikiwa sana.

Kwa hapa Bongo, sioni Ajibu akichanua kiwango naona kimefika Peak akiwa Yanga, ambako alikuwa anacheza kila siku. Simba kiwango kinarudi chini kwa kukosa nafasi.

Ajibu jitafakari Omba kwenda kucheza kwa mkopo kwenye timu kama, Mtibwa, Kagera, Namungo au Azam. Pandisha kiwango SONGA MBELE.
 
Nimesikiliza vipindi vingi vya michezo jana redioni meneja anasema wana offer nyingi zipo mezani zinamsubiri ajibu msimu ukiisha, kwani simba ana mkataba wa mda gani
Simba alipigwa pin, ya miaka 2 halafu kumbuka vilabu vyetu viongozi wanaweka mikataba migumu kwa mchezaji kuondoka kwenda nje.

Tuwe wakweli wachezaji wetu bado hawajajenga jina hivyo hata thamani yao ya kuvunjiwa mikataba inatakiwa iwe ndogo tu kwa manufaa ya mchezaji na Taifa kwa ujumla.

Mfano Ajibu useme ili Simba imuuze klabu inahitaji dola 200,000 nani? Atamchukua ? Matokeo yake klabu kama inamuhitaji itasubiri amalize mkataba au itafute mchezaji kwingineko kwa gharama nafuu zaidi.

Wachezaji wetu, waliowengi thamani zao kiukweli ni kuwasaidia tu. Taifa lijenge jina wengine wafaidike siku za usoni

Sammatta na Msuva si mchezo mchezaji toka bongo na kuingia moja kwa moja kwenye kikosi katika timu bora Africa.

Tujipime Ajibu anao uwezo huo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom