Ajibu ni muhimu sana kwenye mechi za Yanga

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
Kuna wachezaji 11 kwenye mechi uwanjani lakini Kuna wachezaji muhimu kuamua matokea ya mechi uwanjani.

Tumeona hayo kwa Barcelona umuhimu was Messi pia tumeona kwa Juventus umuhimu was Ronaldo na huwa tunaona kwa Yanga umuhimu was Ajibu.

Wanapokesakana wachezaji Kama happy kwenye mechi basic matokeo nayo Ni opposite kwa baadhi ya mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…