Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Kabla mechi ya Yanga na Kagera haijapigwa kule Kaitaba Jumamosi iliyopita,mmoja wa mabeki anayesifika kwa kukaba mpaka kivuli na ki'ukauzu kabisa Juma Saidi Nyoso alijinasibu kuwadhibiti washambuliaji wa Yanga haswa Ibrahimu Ajibu aka Fundi aka Miguu ya dhahabu,nafikiri Nyoso alijiaminisha kuwa Ajibu atakuwa kama Mhenga John Boko ambaye aliwahi kumficha kwenye mechi kadhaa...
Tofauti na matarajio yake,alichokipata katika mchezo ule hatakuja kukisahau katika kipindi chote atakachocheza mpira...
Kwanza alianza kwa kumvuta ili ajae vizuri [emoji23] [emoji23].
Alivyojaa vizuri akala tobo 1 matata sana[emoji23] [emoji23] [emoji23].
Ikapita,ikaja move nyingine...
Akazungukwa [emoji23] [emoji23].
Mzee mzima akaona isiwe tabu,akarudi zake golini kwenda kukaba wachezaji wengine.
Ikaja move nyingine...
This time akaamua kuingia na Mibange yake...
Akapigwa chenga 1 maridhawa kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dah mtu mzima akaona huku sasa ni kudharirishana,faster akageuka ili amvute jezi...
...jezi akaikosa,akataka auwahi mkono,nao akaukosa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu ndo Ibrahim Ajibu Migomba aka Fundi,aka Miguu ya dhahabu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tofauti na matarajio yake,alichokipata katika mchezo ule hatakuja kukisahau katika kipindi chote atakachocheza mpira...
Kwanza alianza kwa kumvuta ili ajae vizuri [emoji23] [emoji23].
Alivyojaa vizuri akala tobo 1 matata sana[emoji23] [emoji23] [emoji23].
Ikapita,ikaja move nyingine...
Akazungukwa [emoji23] [emoji23].
Mzee mzima akaona isiwe tabu,akarudi zake golini kwenda kukaba wachezaji wengine.
Ikaja move nyingine...
This time akaamua kuingia na Mibange yake...
Akapigwa chenga 1 maridhawa kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dah mtu mzima akaona huku sasa ni kudharirishana,faster akageuka ili amvute jezi...
...jezi akaikosa,akataka auwahi mkono,nao akaukosa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]