Africa_Spring
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 426
- 111
Wadau naomba kufahaishwa kama tayari ajira za ualimu wa secondary kwa mwaka huu zimeanza kupangwa au bado. Maana najua mwaka jana watu walisubiri mpaka mwezi wa kwanza mwaka huu. Wenyefununu tupeni moyo ndugu zenu maana huku kitaa bara wakuu.